Utaratibu wa Uhamisho kwa Mwanafunzi upoje?

Utaratibu wa Uhamisho kwa Mwanafunzi upoje?

Ulongupanjala

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
8,273
Reaction score
13,567
Habari za jioni wandugu?

Nina kijana amesoma kuanzia nursery hadi darasa la saba English medium schools. Matokeo yake masomo yote amepata alama A.

Amechaguliwa kwenda kusoma shule ya sekondari ya kutwa(sio za kata) Ila mwanangu anapenda sana kwenda kusoma shule ya bweni ya serikali.

Naomba mwongozo/connection ili kijana wangu afurahi.

Asante.
 
Shule za serikali huwa wanachagua wenyewe. Kwakua shule za serikali za bweni nyingi serikali ndio hutoa chakula huwa inakua ngumu Kwa mkuu wa shule kuingiza watu tofauti na anaopewa. Pia Kuna shule za serikali zenye bweni Kwa advance so unaweza ukampenyeza mwanao akaishi na kaka zake wa advance.
 
Mpeleke private, huku gavoo atagonga alama za ovyo. Maticha washajichokea na masimango.
 
Ni jinsia gan huyo kijana wako
Kama niwA kike nicheki
0764616353
 
Back
Top Bottom