JICHO LA WAZAWA
Member
- Jan 2, 2013
- 16
- 3
JAMANI WADAU HAABARI ZA JIONI NAOMBA KUULIZA ETI UTARATIBU WA UJENZI WA NYUMBA KATIKA MIJI NA MAJIJI, MANSPAA PAMOJA NA NYUMBA SERIKALI NA TAASISI ZAKE NI UTARATIBU UPI UNAOTAKIWA KUFUATWA NA MKANDARASI HUSIIKA PAMOJA NA KIBAO CHA UTANMBULISHO WA MKANDARASI
MFANO NIMEKUTA KIBAO KIMEANDIKWA JINA LA MKANDARASI X ANAJENGA GHOROFA FULANI KATIKA MTAA MTAA Y kitalu namba alakini katika dodosa yangu nimebaini yule mkandarasi kweli yupo ila sio yeye anayejenga ni mtu mwingine asiye na sifa sitahiki ila kibao kinatumika kumlinda mwenye jingo
.tiririka wakandarasi..
MFANO NIMEKUTA KIBAO KIMEANDIKWA JINA LA MKANDARASI X ANAJENGA GHOROFA FULANI KATIKA MTAA MTAA Y kitalu namba alakini katika dodosa yangu nimebaini yule mkandarasi kweli yupo ila sio yeye anayejenga ni mtu mwingine asiye na sifa sitahiki ila kibao kinatumika kumlinda mwenye jingo
.tiririka wakandarasi..