Kenya 2022 Utaratibu wa upatikanaji wa viti maalum Kenya upoje?

Kenya 2022 Utaratibu wa upatikanaji wa viti maalum Kenya upoje?

Kenya 2022 General Election

Kaka mwisho

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2011
Posts
407
Reaction score
178
Utaratibu wa upatikinaji wa Viti maalum Ubunge vya Wanawake Kenya upoje?

Wadau, Katiba ya Kenya na sheria ya uchaguzi imeweka utaratibu upi wa upatikanaji wa wagombea wa viti maalum wanawake.
 
Kuna viti vinaitwa 'women representative' ambapo ni wanawake tu wanamenyana, alafu chama ambacho kinapata wagonbea wengi (majority) na wachache (minority) wanafaa kuchagua wawakilishi wao wa viti maalum ikiwemo watu wenye disability, youths representative na wengine
 
Back
Top Bottom