Kaka mwisho
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 407
- 178
Utaratibu wa upatikinaji wa Viti maalum Ubunge vya Wanawake Kenya upoje?
Wadau, Katiba ya Kenya na sheria ya uchaguzi imeweka utaratibu upi wa upatikanaji wa wagombea wa viti maalum wanawake.
Wadau, Katiba ya Kenya na sheria ya uchaguzi imeweka utaratibu upi wa upatikanaji wa wagombea wa viti maalum wanawake.