Utareact vipi?

hey kuna ka kisanga hapa kazini nilikiona dada mmoja kila siku alikuwa anakuta msg za malavdav kwenye simu za mzee akimuuliza anasema wrong namba hizi msg zinaingia kimakosa sio zangu mdada akawa na subira hatimaye akaamua kuchukua namba ya simu ya mwizi wake ..wakaanza ushost.. mala eeh uko wapi namna gani na kadharika ..kweli wakawa mafriend na wakakutana one day saloon..
Binti akamkaribisha mwizi wake home ...kashemsha hot water na kuweka kwenye thermos ..
mdada kaja kapewa kinywaji na binti akampigia mzee kuna mgeni wako ..mzee kuja kadondoka na kufaint ..kilichoenda ni ugomvi na kuishia kupelekana police ,makovu juu mwenye mali akimlalamikia mwizi wake kamvamia home kwake ..mwizi akaishia kulala ndani sijui kama bado wanaendelea na ka wizi kao
 

Just for personal interest, Unafanya wapi kazi FL1?
 
hii thread inawahusu hasa madada kulingana na jinsi ulivyouliza
...Mbona hata wakaka wevi wapo? Issue ni kwamba hata wakaka wakigundua kuna njemba inanyemelea my wife wako then unakuta sms kwenye cm ya mamaaa au ndio rijamaa rimempigia my wife wako...?
 
siwezi kujibu kwa kuwa sijui, na ndo maana nikauliza. huwa na imagine in that state mtu atasema nini au atatukana, au atanyamaza au au au............

kumbuka wnaume wengi waliooa wanapowatokea mabinti wanajidai hawajaoa,
 

unadeal kwanza na huyo mgombea mwenza, maana jamaa utampata tu, majibu ya huyo mwizi ndo wewe utajua jinsi ya kumkabili jamaa yako.
inawezekana msichana hakujua kwamba ana mtu au alimdanganya,
msichana kwanza , mwanaume nitampata tu hata siku ikipita.
 
haaa jamani FL mbona umeshindikana wewe....una majibu ya haraka haraka balaaa...umenifurahisha sana.

si huyo kakaako Chrispin badala ya kuchangia anauliza mie napatia wapi riziki teh
 
Duh mie nitawambia wa kwako akiwa kwako akitoka nje si wako??? Heheh ila kuibiwa inauma bwana acheni tuu halafu ukute mwizi mwenyewe mbaya zaidi yako!!


Umenena shosty, kuibiwa kusikie kwa mwingine mwaya, ukatoe pole na kufariji, usiombe yakukute, damn!

Halafu kuna hii ukimuuliza jamaa anabisha ka nini sijui, halafu kukuhakikishia kwamb he is not cheating on you, anampigia Demu simu kumuonya asimfuate fuate, sijui nini na nini, mkali ka mbogo. Baadae yeye huyo huyo anampigia sam Demu kuapologise na kuweka mambo sawa ikiwa ni pamoja na appointment siku inayofuatia.

Kaazi kweli kweli.
 
si huyo kakaako Chrispin badala ya kuchangia anauliza mie napatia wapi riziki teh

Afu ulivokuwa na roho mbaya ukanipiga kibuti, wapwa zangu wote wamejua. Leo hata kwenye kikao sitaenda.
 
Kwanza ukihisi tu unaibiwa bila kuwa na evidence inauma sana jamani hivi ukicheki live sijui inakuwa namna gani ombea ipite mbali ingawa inabidi kuwa na tahadhari leo kwako kesho kwa mwingine
 
Carmel,there is no need to react,as it takes a fool to react!,hapa unachotakiwa kufanya ni kuongeza ubunifu wa mapenzi ili jamaa atulie na wewe,hamna haja ya ku react wala kwenda kwa waganga dawa unayo mwenyewe,kujiamini tuu!!!
 
Carmel,there is no need to react,as it takes a fool to react!,hapa unachotakiwa kufanya ni kuongeza ubunifu wa mapenzi ili jamaa atulie na wewe,hamna haja ya ku react wala kwenda kwa waganga dawa unayo mwenyewe,kujiamini tuu!!!

Aaa wapi, hata uwaambie vipi hawatakuelewa.
 
wezi bana utawajua tu.

Naomba ni clarify, sihusiki na lolote hapo juu, i was just thinking aloud situation zinavyokuwa kutokana na ile thread ingine ya infidelity niliyoanzisha kama uli/mli-isoma. it was about a woman who is married and discovered her huby is cheating akamcontact yule mwizi wake, bahati yake mwizi akawa mpole akamwambia hakujua kama the man is married but at the moment she 5months pregnant. so nikaanza kufikiri from there, je ingekuwa mimi ningemcontavt mwizi wangu, je kama ni mimi ni mwizi au hata kwa kuwa mistaken nikawa contacted na mwenye mali je niareact vp?

So kaka/dada dont jump to conclusion au usidandie gari kwa mbele, enjoy
 

Watu wenye mawazo ya aina hii huwa siwaelewi, why dont you just read and omment on the issue at hand and not the person. It looks so ridiculous when whatever you are trying to insuniate is not the reality, grow up man,woman.
 
Dear Nd. Bubu Ataka Kusema,
Wengine ni wageni hapa JF, basi hata hatuambizani jamani kama kunamajukwaa mengine pia na mkatuacha kwenye siasa tunapata pressure ya bure???

Karibu ndugu, ukishachoka kujipa pressure huko kwenye siasa kuna mahali pa kupoza moyo huku na kuboresha nyumba zetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…