doup JF-Expert Member Joined Feb 26, 2009 Posts 2,706 Reaction score 2,861 Dec 13, 2010 #2 wa kwanza -kutoka kuria
Good Guy JF-Expert Member Joined Oct 24, 2010 Posts 3,815 Reaction score 1,424 Dec 13, 2010 #3 Natumia vyote kidogokidogo.
Chapa Nalo Jr JF-Expert Member Joined Dec 8, 2010 Posts 7,518 Reaction score 6,506 Dec 14, 2010 #4 Kwa huyo mwenye tepu maana sina wasiwasi na nzakali yangu atavutiwa nayo tu na kujitoa kwenye picha kuwa demu halisi tuondoke zetu
Kwa huyo mwenye tepu maana sina wasiwasi na nzakali yangu atavutiwa nayo tu na kujitoa kwenye picha kuwa demu halisi tuondoke zetu
Abdulhalim Platinum Member Joined Jul 20, 2007 Posts 17,215 Reaction score 3,076 Dec 14, 2010 #5 Dizaini hiyo ya choo kama funnel ile kupima maf'ta ya taa dukani kwa Mangi!
Raia Fulani JF-Expert Member Joined Mar 12, 2009 Posts 11,478 Reaction score 3,659 Dec 14, 2010 #6 Mi ningesimama kwa huyo mwenye miwani anayeshangaa kitu
P PhD JF-Expert Member Joined Jul 15, 2009 Posts 4,692 Reaction score 3,891 Dec 15, 2010 #7 wote ni mali thangu ninyi ni mbwembwe tu.