GREAT NAME
JF-Expert Member
- Aug 31, 2016
- 1,078
- 1,718
Bwana yesu asifiwe jilanR.I.P
WOTE WAKO HAI..Kuna watu kadhaa maarufu inasemekana walisha kufa ila bado sijathibitisha kama ni kweli nao ni:
1:mithun chakrabority
Huyu kila nikimgoole naambiwa ashakufa,
2:john cena
Nasikia alikufa kwa ajali ya gari,
3:ramsey noah
Naye wanasema alikufa ajalini,
Kuna ukweli wowote hapo wajuzi.
[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji24]Bwana yesu asifiwe jilan
Nin sasa jaman mungu hapendi hii tabia jaman nan uyu anakuliza mchana huu jaman...[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji24]
Wewe jilaniiNin sasa jaman mungu hapendi hii tabia jaman nan uyu anakuliza mchana huu jaman...
aaaarrrgg
Jilan mim tena jaman......???[emoji15] [emoji15] [emoji15]Wewe jilanii
Mimi ni tabibu...haya eleza unasumbuliwa wapi?!kama hiyo avatar ni wewe mie huku ni mgonjwa tayari...
Nakula nitarudJilan mim tena jaman......???[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Mshushe mtoto unipe kidogo.Tulikuwa nao hapa JF?ππππ
Kwaiyo hakuna karibu katika kula....?Nakula nitarud
Ila mchomwaji sasa hana ata chembe ya hofuhahahahahahaahahahah