Utata kuhusu H.I.V window period

Utata kuhusu H.I.V window period

SPANISH CP

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2014
Posts
465
Reaction score
230
Nimejaribu kugoogle,kusoma articles tofauti nimeona kuna maelezo tofauti kuhusu window period
kati ya wiki 8 hadi miezi 3 na kati ya wiki 8 hadi miezi 6.
Wataalam ipi ndo sahihi nataka kufunga ndoa kule tulikopima mwanzo imeshapita miezi mitatu,sasa sijui nifunge ndoa au nisubiri hadi hiyo miezi 6 iishe?
 
Mmh! Hilo swali ni gumu aisee! Kama wasiwasi wako ni kupata HIV, kunauwezako mkubwa wa hata iyo miezi mitatu ijayo mtu wako kuambulizwa endapo atasex na muathirika bila kinga!

So hiyo itakua endless question na itakufanya upime kila baada ya miezi mitatu kabla ya hiyo ndoa!

Otherwise uengeze nyama ktk maelezo yako kwa kujibu maswali haya:

Huyo mtu wako uko nae kwa mda gani?

Kwanini mkapime tena wakati mmeshapima?
 
Mmh! Hilo swali ni gumu aisee! Kama wasiwasi wako ni kupata HIV, kunauwezako mkubwa wa hata iyo miezi mitatu ijayo mtu wako kuambulizwa endapo atasex na muathirika bila kinga!

So hiyo itakua endless question na itakufanya upime kila baada ya miezi mitatu kabla ya hiyo ndoa!

Otherwise uengeze nyama ktk maelezo yako kwa kujibu maswali haya:

Huyo mtu wako uko nae kwa mda gani?

Kwanini mkapime tena wakati mmeshapima?

Swali la msingi ni kwamba upi muda sahihi wa window period?
Ni miezi 3 au miezi 6? Maana nimesoma articles mbili tofauti moja inasema ni miezi 3 ingine inasema miezi 6.
 
Wataalam wanasema 97% ndani ya miezi mitatu unapata jibu sahahi kulingana na aina ya kipimo kilichotumika.
That means within 3months mwili ushajitengeneza upya Antibody v/s Antigen
 
funga ndoa tu ndg bahari ishachafuka hii. iwe miezi 6 au mi 3 haibadilishi hali. virus aweza pata hata siku ya harusi
 
Ugonjwa wowote utokanao na virusi ni lazima uonekane ndani ya wiki moja au wiki mbili au isizidi mwezi mmoja, kwa maelezo zaidi waweza kujisomea post hii hapa
 
Back
Top Bottom