MasterGamaliel
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 923
- 1,001
Salam,
Kumekuwa na hii ya askari wa usalama barabarani kusimamisha gari kwa ajili ya ukaguzi na kumvizia driver akiwa hajazima gari na kuchomoa ufunguo wa gari ya aina ya Mitsubishi hasa Canter na Fuso, ikiwa ufunguo utachomoka wanakukamatisha kuwa ignition switch mbovu hivyo wanataka uandikiwe receipt ya ujuzi wao kwa TAS 30,000/= , sasa je kwa utalaamu ni kweli Mitsubishi canter na Fuso wana tatizo hilo au kwao Japan sio kosa. Na je kwa Tanzania ni kosa? Je kama tatizo linajirudia kwa magari mengi ya aina hiyo ni issue ya kunyamazia kwa Askari wa usalama barabarani au wanapaswa kureport kuwa this is unusual na kwamba kama nchi tujue cha kuamua kitija?
Kumekuwa na hii ya askari wa usalama barabarani kusimamisha gari kwa ajili ya ukaguzi na kumvizia driver akiwa hajazima gari na kuchomoa ufunguo wa gari ya aina ya Mitsubishi hasa Canter na Fuso, ikiwa ufunguo utachomoka wanakukamatisha kuwa ignition switch mbovu hivyo wanataka uandikiwe receipt ya ujuzi wao kwa TAS 30,000/= , sasa je kwa utalaamu ni kweli Mitsubishi canter na Fuso wana tatizo hilo au kwao Japan sio kosa. Na je kwa Tanzania ni kosa? Je kama tatizo linajirudia kwa magari mengi ya aina hiyo ni issue ya kunyamazia kwa Askari wa usalama barabarani au wanapaswa kureport kuwa this is unusual na kwamba kama nchi tujue cha kuamua kitija?