FK21
JF-Expert Member
- May 27, 2019
- 8,600
- 10,760
kama kichwa cha habari kinavyo jieleza ndugu zangu kuna mpangaji
mwenzangu naona kabisa sio mtu mzuri kwanza anazungumza sana kuhusu uganga na mambo ya kuogofya kwenye simu tena kwa kupayuka kingene pindi ana hamia alikuja na
vidada viwili miaka 17 na 18 tukajua ni nduguze ila sio nduguze kumbe sio tuligundua baada ya mmoja kumtaka wale madada wakaondoka juzi kaleta wengine age iyo iyo
wakati najiandaa kwenda kazini nikaitwa na hao wanaokaa nae chumba kimoja hao wabinti kwa dirishani kaka njoo utufungulie kwenda kawafungia kufuli nje je hiyo ni sawa
mwenzangu naona kabisa sio mtu mzuri kwanza anazungumza sana kuhusu uganga na mambo ya kuogofya kwenye simu tena kwa kupayuka kingene pindi ana hamia alikuja na
vidada viwili miaka 17 na 18 tukajua ni nduguze ila sio nduguze kumbe sio tuligundua baada ya mmoja kumtaka wale madada wakaondoka juzi kaleta wengine age iyo iyo
wakati najiandaa kwenda kazini nikaitwa na hao wanaokaa nae chumba kimoja hao wabinti kwa dirishani kaka njoo utufungulie kwenda kawafungia kufuli nje je hiyo ni sawa