Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]2020 CCM ikipata wabunge wengi taifa letu litakuwa limelaaniwa na mungu mpaka shetani.
Upige kura kwa upinzani, ususie kupiga kura, CCM itashinda majimbo mengi tu ya ubunge, tena kuliko unavodhani... kama tumeshindwa kujitetea kwenye hili la mafao ya mifuko ya hifadhi ya jamii ambalo lingusa wafanyakazi wote bila kubagua, sioni mtu atakaelinda kura yake na kutetea mbunge wa upinzani pindi matokeo yatakapokuwa yanatangazwa, tukubali tu kwamba watanzania hatuna uwezo wa kutetea haki zetu..2020 CCM ikipata wabunge wengi taifa letu litakuwa limelaaniwa na mungu mpaka shetani.
Tangu mwaka huu umeanza hili ndio la maana umeongea hongera yajoUpige kura kwa upinzani, ususie kupiga kura, CCM itashinda majimbo mengi tu ya ubunge, tena kuliko unavodhani... kama tumeshindwa kujitetea kwenye hili la mafao ya mifuko ya hifadhi ya jamii ambalo lingusa wafanyakazi wote bila kubagua, sioni mtu atakaelinda kura yake na kutetea mbunge wa upinzani pindi matokeo yatakapokuwa yanatangazwa, tukubali tu kwamba watanzania hatuna uwezo wa kutetea haki zetu..
Na kwa hili la mafao, nimeamini rasmi kuwa CCM Itaanguka siku ikiamua yenyewe sio kwa matakwa ya wananchi
Aiseee! nguvu ya sanduku la kura unaijua brother?Upige kura kwa upinzani, ususie kupiga kura, CCM itashinda majimbo mengi tu ya ubunge, tena kuliko unavodhani... kama tumeshindwa kujitetea kwenye hili la mafao ya mifuko ya hifadhi ya jamii ambalo lingusa wafanyakazi wote bila kubagua, sioni mtu atakaelinda kura yake na kutetea mbunge wa upinzani pindi matokeo yatakapokuwa yanatangazwa, tukubali tu kwamba watanzania hatuna uwezo wa kutetea haki zetu..
Na kwa hili la mafao, nimeamini rasmi kuwa CCM Itaanguka siku ikiamua yenyewe sio kwa matakwa ya wananchi
Aiseee! nguvu ya sanduku la kura unaijua brother?
Sio Tanzania mkuuAiseee! nguvu ya sanduku la kura unaijua brother?
wewe umejoin humu wiki 2 tu zilizopita, umejuaje kama ni hili tu ndio la maanaTangu mwaka huu umeanza hili ndio la maana umeongea hongera yajo
Oyaa wewe mwenye kamba mguuni taratibu bwanaTangu mwaka huu umeanza hili ndio la maana umeongea hongera yajo
nakupa good critical na like za kutosha2020 CCM ikipata wabunge wengi taifa letu litakuwa limelaaniwa na mungu mpaka shetani.