KERO Utata Mizani Airport terminal 3

KERO Utata Mizani Airport terminal 3

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Chollo0156

New Member
Joined
Oct 26, 2018
Posts
2
Reaction score
1
Nimesindikiza mgeni hivi karibuni akielekea Ughaibuni.

Kabla sijampeleka airport nilifanya kupima begi lake uzito ili kuhakiki isitokee kupunguza mizigo panga pangua na begi lilikua na KG30 kamili.

Kisha nlipofika pale wanapofanya wrapping niliwrap na kuhakiki uzito ulikuwa huo huo 30kg.

Sasa kimbembe kilianzia nlipofika counter ya ndege X kwa ajili ya boarding pass na kukabidhi begi, ikasoma begi lina kg37!!!

Tulisumbuana pale mwishowe walilichukua begi! Natoa wito kwa wadau kuwa makini na kulipeperusha hili kwa mamlaka husika kufuatilia mizani zote pale za upimaji kuepuka udanganyifu au shida za kimitambo zilizopo na kuondoa usumbufu kama huu.
 
Nimesindikiza mgeni hivi karibuni akielekea Ughaibuni.

Kabla sijampeleka airport nilifanya kupima begi lake uzito ili kuhakiki isitokee kupunguza mizigo panga pangua na begi lilikua na KG30 kamili.

Kisha nlipofika pale wanapofanya wrapping niliwrap na kuhakiki uzito ulikuwa huo huo 30kg.

Sasa kimbembe kilianzia nlipofika counter ya ndege X kwa ajili ya boarding pass na kukabidhi begi, ikasoma begi lina kg37!!!

Tulisumbuana pale mwishowe walilichukua begi! Natoa wito kwa wadau kuwa makini na kulipeperusha hili kwa mamlaka husika kufuatilia mizani zote pale za upimaji kuepuka udanganyifu au shida za kimitambo zilizopo na kuondoa usumbufu kama huu.
Ndege X hakuna ndegekama hio hapa atujadili majungu Weka jina simple.wanakagua usisahau wala kuogopa airline nyingi zinasimamiwa na handling comp ukizitaja wanasaidia handling comp na abiria wote wanaokuja
 
Back
Top Bottom