Tetesi: UTATA: PICHA MBAYA ZA DONALD TRUMP

Status
Not open for further replies.

srinavas

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2011
Posts
4,195
Reaction score
4,013
Habari za jumapili wadau.

Bwana asifiwe kwa wenzangu wakristu.

Sasa nikienda moja kwa moja kwenye mada. Ni kwamba kuna picha za utata kidogo zimepatikana huko mtandaoni zikimuonyesha raisi mteule wa marekani. Sasa mm swali langu ni kwamba je huyu ni donald trump mwenyewe au ni mtu tu amejifanya kuwa yeye??

Naombeni majibu tafadhali.


















 
Hizo Tatu za Mwisho ni picha Halisi ..Nyingine za juu sina Uhakika nazo
 
Mbona picha karibia zote mdomo amefanya style moja peke yake? ??
 
Hapo zote ni propaganda za uchaguzi?
Kama.ni wafuatiliaji Picha tatu za mwisho Ni picha zilitokana na Video iliyovuja, na alikiri kufanya hivyo na akaomba msamahama. Otherwise hizo za juu hazina refference
 
Hao watakuwa illegal immigrants baada ya kukwama kwenye maandamano uchwara yao sasa wamekuja kivingine.

Ifikie hatua wakubali tu kuwa Trumph ndiye rais halali wa U.S.A
 
Kama.ni wafuatiliaji Picha tatu za mwisho Ni picha zilitokana na Video iliyovuja, na alikiri kufanya hivyo na akaomba msamahama. Otherwise hizo za juu hazina refference

Hakuna kitu hapo wewe.

Picha zote hizo ni feki.

Kama siyo feki, hebu nipe vyanzo vitatu vya habari vilivyo makini ambavyo vilizichapisha au kuzionyesha hizo picha.
 
Video ilivuja ilikuwa anaongea kwa kuwakejeli wanawake wapizani wake wakatengeneza video kabisa ya sura na MTU anaye fanana naye.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…