UTATA: Simba na Mchezaji wa brazil Gerson vierra Fraga (MKATA UMEME)

Mwalimu wa Zamu Tz

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2021
Posts
1,053
Reaction score
2,757
Salaam wakuu!!

Kuna Jambo nashindwa kulielewa kabisaa kuna huyu mwamba Fraga sijui mkataba uliisha? Au alivunja mkataba!! Lakini nakumbuka alipata tatizo la Goti na simba ikatoa taarifa kwamba ataenda lakini akipona atarudi lakini unaelekea mwaka sasa uyu mwamba hajarudi na wala hana dalili za kurudi? Je, alishaachana na Simba au? Kweli alifanyiwa sajari ya goti na naona yuko fiti kabsa alipona sasa tatzo nn au alipishana kauli na viongozi?

Lakini kinachoshangaza zaidi ni mapenzi yake kwa Simba...hakuna post 3 mfululizo anaweza post bila kupost mambo ya Simba!! Mwamba inaonekana anamapenzi ya kweli na team?? Au ni njaa?? Lakini uwanjani Sialikua anapeleka moto??Aliposajiliwa Si vyura walianza kusema ni muuza matikiti uko brazil! Lakini alivyopewa nafasi alionesha uwezo mzuri tu sasa kwanini mpaka sasa bado hajarudi kambini??

Hata kwenye comment wadau wameuliza kwanini hajarudi mpaka sasa kikosini wengine wanasema Lugha ilikua tatzo maana alkua hajui English vzur wala kiswahili yye ni kibrazil tu So lugha gongana kwa sana tu ..ila hayo ni maneno ya mtandaoni tu kama kuna mwanaSimba anaejua A-Z kuhusu Fraga atueleze

Uzi tayari
Na kapicha juu
 
Ni mchezaji mzuri, Ana mapenzi makubwa na Simba, tatizo alikuwa anachukua mpunga mkubwa ila mwekezaji pamoja na kuombea bilionea ni mbahili kuhusu lugha tuna kocha wa makipa ni mbrazil sioni tatizo hata wakati anakiwasha hakukuwa na tatizo lolote
 
Ni mchezaji mzuri, Ana mapenzi makubwa na Simba, tatizo alikuwa anachukua mpunga mkubwa ila mwekezaji pamoja na kuombea bilionea ni mbahili kuhusu lugha tuna kocha wa makipa ni mbrazil sioni tatizo hata wakati anakiwasha hakukuwa na tatizo lolote
Daah wafanye mchakato wakumrudisha uyu mwamba
 
Kanoute
Lwanga
Mzamiru
Nyoni
Fraga
πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Hakuna lugha ya Kibrazil, Brazil wanaongea Kireno.
 
Idadi ya wachezaji wa kimataifa imeshakamilika Ina maana washamalizana na simba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…