Utata tcu.

kdany

Senior Member
Joined
Jul 20, 2012
Posts
149
Reaction score
25
Wakuu habari,nmefungua acc.yangu ya tcu kwa kutumia computer nikakuta wameniandikia "your are addimitted"bt nimekuja ku login tena kwa kutumia simu ya sioni chochote,kuna anaweza kuni dadavulia hapo au kuna mwngne mwenye tatzo km langu.
 
Simu sio kombunta kijana. angalia chini ya my profile utaona
 
kwani mkuu ninga ume apply vyuo gani na kozi gani tuambiane kaka by MPIGAMSULI
 
hivi tcu shida ni nini maana nimemsikia jana waziri alixema selection ziko tayari sasa ni kwa nini msiyatoe hivi hamjui kuwa yalivyo leak yale ya udsm ndo mmehamsha morari ya watu iliokuwa INASUBIRA sasa mngefikiria zaidi na mngeamua kutoa selection zote KIUJUMLA.Vile vile kuna kitu kingine kinachowapa watu MORARI na kufanya WACHOKE KUSUBURIi ni hili la jana la YOUR ADMITTED kwenye profile utamwambiaje mtu amekuwa admitted bila kujua ameadmited chuo gani so mimi niseme hivi ingekuwa vizuri kama mngetoa selection kwa watu wote waliopata chuo halafu asioona jina lake ndo aapply tena maana watu wameshachoka wamechoka kabisa yaani kabisa kabisa jipangeni!!!!!!!!!!!
 
haaaahahaha...msela hapo ndo ushachaguliwa kwenye 1st selection kua mpole watangaze officially!!!!
 
tangulini jumanne ikawa jumatano na jumatano ikawa alhamisi hii inamaanisha kwamba system za tcu zina ahadi ya kiswahili.there is no need of having tcu anyway
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…