The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,541
Ujinga ulionao ulisomea wapi?hii nchi ni kama vile haina amiri jeshi mkuu, Gwajima kitendo anachokifanya hakina tofauti na muuwaji hakustahili mpaka muda huu kiwa uraiani
Unapendekeza na yeye apigwe risasi 30?hii nchi ni kama vile haina amiri jeshi mkuu, Gwajima kitendo anachokifanya hakina tofauti na muuwaji hakustahili mpaka muda huu kiwa uraiani
Toka lini maneno yakaua mtu? 😂😂😂 Huu ujinga ndio ulifanya awamu ya 5 ionekane awamu ya hovyo sana pamoja na kufungua wapinzani kila mara!hii nchi ni kama vile haina amiri jeshi mkuu, Gwajima kitendo anachokifanya hakina tofauti na muuwaji hakustahili mpaka muda huu kiwa uraiani
Gwajima alimkoromea Bashite. Unamuona wa polepole eee?Labda kama wanamtuma wao kesho akiropoka atajuta maishani...
Tanzania tumezoea kuzibwa midomo...acha aongee anachokiamini.hii nchi ni kama vile haina amiri jeshi mkuu, Gwajima kitendo anachokifanya hakina tofauti na muuwaji hakustahili mpaka muda huu kiwa uraiani
Tulia dawa ikuingie vizuri.hii nchi ni kama vile haina amiri jeshi mkuu, Gwajima kitendo anachokifanya hakina tofauti na muuwaji hakustahili mpaka muda huu kiwa uraiani
Maoni ya watz wengi utafikiri Magu aliwaloga asee
Maoni ya watz wengi utafikiri Magu aliwaloga
Anajua kupiga kwenye mshono huyu mtu daaahTunasubiria kwa hamu, na kwa vile ni Mbunge wetu Kawe na Mwakilishi wetu, chochote atakacho kisema, ndicho wana Kawe wote tutacho kifuata.
P
Huyu Gwajima ni wa kupigwa mawe hadi afarikiMtazame na msikilize mwenyewe ktk video hii. Yeye kauita huu wa kesho kuwa ni "msimamo juu ya msimamo"...
Hii ndiyo sauti ya "Jitu la Mbinguni" iliayo nyikani kusema itengenezeni njia ya Bwana maana ufalme wa Mwanakondoo upo duniani...!
Video na sauti yake itafuata........