Mbona kama kaandika tar 4/7/2001 na sio tar7/4/Mkuu ilikuwa tar 07/4/?? Hii tarehe huwa ina nini? Karume plus kanumba the same date but miaka tofauti
Mkapa azeeki maini wala akili. Mimi bado napunguza baridi watakuja wataalamu hili jambo mbona inajulikana au ulikuwa mdogo by then nakukosa hotuba zile za ndugu Wananchi kila mwisho wa mwezi.Mkuu itabidi utueleze hii taarifa ulipataje
Andika vizuri basiMhsambonakamanimovieimeonyeshatutitlenakuandikaTHEendaunaweweunabahatisha.
samahani, kuna tatizo la kiufundi hapo juu
Inaweza tu kuwa ilinipita pembeni kwa kuwa mdogo hapanaMkapa azeeki maini wala akili . Mi bado napunguza baridi watakuja wataalamu hili jambo mbona inajulikana au ulikua mdogo by then nakukosa hotuba zile za ndugu Wananchi kila mwisho wa mwezi .
Tumekuelewa hivyohivyoMhsambonakamanimovieimeonyeshatutitlenakuandikaTHEendaunaweweunabahatisha.
samahani, kuna tatizo la kiufundi hapo juu
Yule mpemba R.I.P baada ya mapambio kule Kilwa road alirudi Magogoni na mgeni huyo ila kilichofuatia huko Haile Selassie Na Shaban robert au cocobeach ni bendera nusu mlingoti na nyimbo za Komba.Inaweza tu kuwa ilinipita pembeni kwa kuwa mdogo hapana