Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Mwinyi nae alikuja kuwaachia huru waliotaka kumpindua Nyerere kwahiyo alichofanya Chato man siyo ngeni katika siasa za huko nchini. Swali la msingi je walitenda hilo kosa?

Waziri wa kidiplomasia nchini kwa wakati alisema atahakikisha familia ya Nguza Viking inafia jela akatafuta na wanaharakati za haki za kibinadamu jamaa akapelekwa pale Ukonga. Ila sababu kubwa mcongo huyo aliingilia maslahi ya mtalii huyo aliyedumu kwa muongo moja kama boss wetu.

Alichokosea mzee alitaka kumpitia na mke wa PM wa kipindi hicho ndo maana ilipokuja kudakwa pm alimuambia huyo kanali kuwa we mpeleke tukichanganya na rushwa na msosi waliopigwa wale madogo hapo Sinza wakatunga uongo eti wameliwa tigo labda waliwachanganyia bangi za kapachino.

Babu Seya yupo huru ila afya na maisha ya jela life span imeshadorora.
 
Mmh!
 

Mkuu bado hujanishawishi inshu ya BABU SEYA naona Hamna mausiano na KIKWETE ila siasa tu imeingizwa labda nikuulize swali hivi inshu ya SEYA haina mahusiano na siasa za Kongo kwa kabila maana baada ya BABU SEYA kutoka jela baada ya week kama tatu nne hivi tukapata msiba huko Kongo wanajeshi wetu 12 wameuwawa na wengine kama 40 majeruhi huoni kama kuna kitu nyuma ya panzia
 
tulia tumalize hili la Dr Omary [emoji20][emoji20]
 
Omary Ali Juma aliuwawa na lile kundi mashuhuri la boyz2men
 
Mkuu hivi hata wewe hujui uhusika wa boys2Men? Basi ulikua mtoto.
 
Hizi mambo bwana; chukulia ndege wako sehemu kwenye foleni na unajua kabisa pale umewekwa mtego wa kunasa ndege watatu. Sasa katika kujipanga yule aliyedhaniwa kuwa atakuwa watatu na ndiye anayetarajiwa kunaswa akapata machale asiende.

Badala yake unaamriwa usogee wewe na huwezi kukataa. Mwisho wa siku unajitosa huku ukijua kuwa baada ya hapo unakuwa umenaswa.

Ndivyo ilivyo sometimes kwa ndege warukao pamoja.
 
Mkuu hao wanajeshi wameuawa na Kagame akiishirikiana na Museveni. Babu Seya is no body in Congo politics. Turudi kwenye mada. Dr Omary alikufa kifo kitatanishi sana.
 
Mkuu hao wanajeshi wameuawa na Kagame akiishirikiana na Museveni . Babu seya is no body in Congo politics. Turudi kwenye mada. Dr Omary alikufa kifo kitatanishi sana
Sawa mkuu Basi siku moja jaribu kutupia Uzi Wa BABU SEYA naamini tutapata mengi kuhusu huyu mdingi SEYA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…