Kuanzia wa kwanza wamefanya mengi gizani, sijui wa 2 sijapata mikanda yakeasee yule mtu kipara mfupi mnene na mkuu aliepita wamefanya mambo ya ajabu sama sijui kwa nini KARMA haifanyi yake
Hapa umesiliba kila konaHNIC teacher hakuuliwa na mmakua.... lile kundi hatari lililowania mamlaka walijitahidi sana kutumia akili kutengeneza mazingira ili ionekane mmakua ndo alihusika ila si kweli.
Habari ya mwalimu Butiama ilianza na prof David mwakyusa aliyekua mganga wake na kuhitimishwa na muuguzi au mwangalizi wake pale St Thomas London ambae ni Kingunge Ngombale mwiru!!
Connect dots kwa Mwakyusa na Kingunge kuzawadiwa mamlaka mara tuuu baada ya Boys2Men kumwangusha mmakua pale Chimwaga....
Habari ni ndefu ila tunamezea tu.
MmmhTargeted na aliekuwemo Sabasaba na Hayati Dkt Omar alikuwa ni Joseph Laurent Kabila sio Yoweri Kaguta Museveni!
Kipindi hicho Joseph Kabila alikuwa anapambana na Waasi waliokuwa wanajiita Banyamulenge waliokuwa wamejificha Misitu ya Mashariki ya Congo na lengo Lao lilikuwa kuipindua Serikal
Kiongozi wa Waasi Hao alikuwa ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dat Es salaam akiitwa Prof Wamba Dia Wamba!
Nimeshakutafunia, kazi yako ni kuunganisha dots tu
Mmmh how man, how??Hilo ni Somo refu sana Ndugu yangu hapa tutatoka nje ya mada!
Pengine Leo Hii tuna Amani Tanzania kwa kuwa Congo Hakuna Amani n.k
Maisha ya kupata mazito mkuu,wajuzi wa mambo walidai shoga ake ndo alimkaanga kwakua yeye anapata sana.Polmake ndoana Mkuu,
Funguka zaidi ili wadau tupate chochote kuhusu utata wa kifo cha Dada yako.
kupata tPole sana Mkuu,
Funguka zaidi ili wadau tupate chochote kuhusu utata wa kifo cha Dada yako.
Ndiyo huyohuyo mkuu.Ni yule mfipa wa Kate au ni yupi....
Ni nani tena huyo mkuu?? FUNGUKA tuNdiyo huyohuyo mkuu.
Pole sana Mkuu chini ya jua kuna mambo mengi sana..Maisha ya kupata mazito mkuu,wajuzi wa mambo walidai shoga ake ndo alimkaanga kwakua yeye anapata sana.
kupata t
Allahuma amin.Pole sana Mkuu chini ya jua kuna mambo mengi sana..
Watu wamejaa Roho za Husda..
Utafikiri wao hawatakufa..
Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi Inshallah.
Waliokufa kwa ngoma! Mfano?Watu mnaweza kutunga nimekuvulia kofia;unataja hadi watu waliokufa kwa ngoma na chain inajulikana unawapa dhambi watu ya kuwaua
Subiri vyuma viachie kwanza. Unaweza kujilaumu bure.I really miss the place . One day I will be back if God wishes.
Yule Mbunge aliejiuzuru ni wa Tabora kama sikosei.Asante mkuu kwa kunipa mwanga,japo umeniacha hewani hapo kwenye mtanzania mwenye asili ya India.
Mkuu jitahidi kusoma taratibu umeshawahi kwanini nissan patrol zote za serikali azijaandikwa STK/ STL/STJ. Vingine utavijua taratibu there's a class ahead calmness is needed.
Hahaha! GT Katika ubora waakoRoma + Stamina =