Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Dr. kifo chake kinatoka na kuusika kwake na baadhi ya wafanya biashara wa mafuta. Mmoja wapo akiwa mfanya baashara maarufu wa morogoro wa kipindi hicho alikuwa ni mmiliki wa tim ya mpira moro united. mafuta yao walikuwa wanawauzia waasi wakongo kinyume cha sheria, dr alikuwa anatoa vibali ambavyo vinaonyesha serikali ya tanzania imekubali kufanya biashara na waasi hao wa kongo.

baada ya kabila kuyakamata magari ya mafuta ya tanzania na kukuta vibali vina sign ya dr. aliamua kuja mwenye tanzania na kumuonyesha mzee benja vibali vyote, kwamba inakuwaje waasi wanamsumbua kumbe yeye benja anawa suppot kwa kuwauzia mafuta?, Mzee ilimuuma sana hii kitu maana niaibu kubwa na ina hatarisha diplomasia. Mzee benja akaitisha kiako ambacho dr alikuwepo na kuelezwa ubaya wake na achague mwenye kifo chake ili kulinda aibu yake na ya tanzania. hii inatokana na viapo ambavyo viongozi wanaapishwa watailinda nchi kwa garama zozote bila kuitia kwenye mzozo wowote.
 
Muambie pia atambue kuwa Kagame ana kikosi chake kilichosambaa maziwa makuu mpaka South Afrika inajulikana kama " ESCADRON DE LA MORT" hicho kikosi kimeondoka Na wengi lakini la kukumbukwa na wengi ni Mtikila na Mwakyusa Juan Profesa R.I.P.
Dadavua kidogo kuhusu huyu prof huwa naona jina bila nondo zinazomuhusu, VP hadi PK akamnyemelea?
 
patnership ya mwanzo ya slim na mchatle kama vile imesiz, behind ya mambo nikwamba mpaka mzee anajiweka karibna slim ilikua ajui ubaya wajamaa? ndio amekja kuujua kwa izi maday za karbuni? coz mbagamoyo hakua na ushirika kamwe na jmaa.{rivals}. Ufafanuzi plz GT
 
Mmmmh huu uzi kiboko Izi codes za humu kama ww ni mkoromije huwezi ztambua unaanzaje sasa kuitambua DSTV ukiingia kichwa kichwa una weza hisi wana zungumzia multichoice na supersport kumbe ni hidden code
 
Mkuu kwahiyo unamaanisha, hapa kwetu hatuna I.T experts mpaka tukakodi nje? kama ni hivyo hivi vyuo vifungwe sasa, havina maana ya kuwepo .
Sio kwamba tunawakodi ila wanakuja kwa ajili ya special missions to be accomplished. Tena huwezi amini wengine wamekuja juzi juzi tu hapa kama miezi 13/14 hivi iliyopita baadhi wakiwa ile jinsia pendwa ya 'Ke'.

Ziara ilifanyika ya Pogba kwenda kwa bwana Pk kama unakumbuka. Anzia hapo sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…