Project vanguard disaccepted but mamvi dismantled to new I.d to authenticate mkwere but skill mavi holds a lot of people in diesitivi but I think chattle boy should be humble coz is like kinyago there and they are just fooling him all things goes as planned
Unafikiri ataweza kweli?Yaaah na haijui project vanguard leave him na maigizo yake ya bandarin if he wants to clean totally this country he must start everything afresh capturing everyone aah I don't know why he fears !!!!
Haahah siutatumia code? Dstv haitakamata mkuu!Dstv wamepunguza Bei kuwezesha watumiaji wengi.
Take care!
Mi ndo mana najitahidi kuwa makini humu,bahati nzuri sina nilijualo naloweza kuandika humu likaniletea matatizo,.labda waamue tu kuninyuka for fun.Kuna watu wanajisahau na kutoa mawasiliano yao Humu ndio maana unaona Code language wengine wanafahamika Kabisa, its bad Mtu unapaswa kutojulikana hata kwa kufungua ID mpya ambayo usiruhusu kutoa mawasiliano wala mtu yoyote kujua Identity yako.
Lakini hili pia hali assure security yako, Hujawah kujiuliza Melo alivyo potential anaweza kuwa Nje na DSTV?
Mkuu nakuelewa vizuri ila tu niwaombe sorry kwa kutoonekana kwenye kilinge hiki kwa masaa 8 nikutokana na majukumu tuendelee na codes after codes. Here we go..wao washaweka vijana wao
kuna walio in their mid 20s
kuna walio in their early 30s
Kuna walio in their 40s
most interesting thing tazama wanafanya nini bear in mind majority ya hao "new turks" wako serikalini na private sector na hawajawa exposed kwenye party machinery for obvious reasons...na dyanamic zimebadilika sana kwa sababu sasa hivi teuzi zinafanywa randomly utaskia mtu naakuwa parachuted from no where.
Namsubiri Billy aje atakuwa kanielewa
100%Problem iliopo ni kuwa zama zimebadilika
Old methods are not working
Ukiona uzi upo hapa na ina trend tambua kuwa kila kitu kipo ok under secured hivi jiulize kwanini jamaa wa njia panda walitishia nyau tulipoweka uzi hapa wa boss wao yule envoy wa opium war/manchu dynasty alivojimilikisha matrilion ya hela huko kwa mtukuzi kwahio we soma km ngumu leave itMi ndo mana najitahidi kuwa makini humu,bahati nzuri sina nilijualo naloweza kuandika humu likaniletea matatizo,.labda waamue tu kuninyuka for fun.
Mkuu hizi nyuzi zipo nyingi ila zikifunguliwa zinaondeshwa km flying UFO nitakuja na nyingine ni kwanini vijana waende anjuanian ilikuwa ni ridhaa ya nani na faida ni ipi ? Maana envoy wao inasemekana alileta mzigo mkubwa lkn ndo hivo clan de staff akayapiga mwishowe akapewa na zawadi ya kuwa envoy huko opium war.Lini utafungua mkuu
We need this
Wengine hatuwez kwenda kushinda kule majukwaa ya celebrity au mapenz
We need these stufs mkuu
Mkuu najua hilo,nazungumzia precautions in general sio uzi huu tuUkiona uzi upo hapa na ina trend tambua kuwa kila kitu kipo ok under secured hivi jiulize kwanini jamaa wa njia panda walitishia nyau tulipoweka uzi hapa wa boss wao yule envoy wa opium war/manchu dynasty alivojimilikisha matrilion ya hela huko kwa mtukuzi kwahio we soma km ngumu leave it
Ata pale alipoteuliwa kwenda manchu dynasty watu walipiga kelele humu yule dogo huko kwa mtukuzi akijitokeza mchana kweupe sijui km yupo salama au ndo slow toxic .
Mkuu Jiko la wana Usalama limo humu JF kuliko mtandao wowote humu kumejaa kila aina ya watu kuanzia verified user kama Viongozi pamoja na Makapuni kwa hawa wanaomwaga Nondo Wanalijua hilo na nadhani pia Wanajikinga nalo, Mtu anakuja na kutangaza kazi kisha anakomba CV za watu tena kwa Pm tu then huyo analala nazo mbeleMi ndo mana najitahidi kuwa makini humu,bahati nzuri sina nilijualo naloweza kuandika humu likaniletea matatizo,.labda waamue tu kuninyuka for fun.
Hapa nimekuelewa... Ila kwa mambo yanavyoenda na hali ilivyo mtaan nna imani kubwa kutakuwa na New generation ya B2M inakuwa formed1. Jamaa wa skinny ? - Hii ni grave mistake ya Boys2Men wangetanguliza maslahi ya nchi haya yasingetoa
2. Mothertounge hawajui - Shukrani kwa IDed them
3. Slim thug has us by the ball - Hii ni grave mistake ya Boys2Men wangetanguliza maslahi ya nchi haya yasingetoa
4. Sayyid Ali Bin Hamud Al-Busaid - Huyu mzee aliweka nguvu nyingi kupambana na Boys2Men mwenzake akasahau upande wa pili. Boys2Men mwenzake anamcheka sasa uko aliko
5. Journo - Huenda uzee umemvuruga
Ili tutoke hapa tulipo tunahitaji another stronger Boys2Men team
Kweli kabisa.wacha tuendelee kujifunza kwenye hii declassifikeshen ya mafaili ya siri ya zamani.kwa sasaivi soo ni kivujisha siri mpya sio zile za zamani.Mkuu Jiko la wana Usalama limo humu JF kuliko mtandao wowote humu kumejaa kila aina ya watu kuanzia verified user kama Viongozi pamoja na Makapuni kwa hawa wanaomwaga Nondo Wanalijua hilo na nadhani pia Wanajikinga nalo, Mtu anakuja na kutangaza kazi kisha anakomba CV za watu tena kwa Pm tu then huyo analala nazo mbele
Hili dude uko mbele sijui kama halitafungiwa zizini maana naona kama Linataka kuleta kashkashi, Mawili Kuna midude umu ina mapdlock ume note ilo?Bwenga ni part and parcel ya Mukhabarat ndio maana kila kitu kinafungwa lakini hili dude liko live 24/7. Kwa lingo yetu yeye anakuwa agent provacateur for obvious reasons. Kitu kingine nataka nikuhakikishie, Mukhabarat hawana tatizo na hili dude, as a matter of fact wana bots zao just incase likienda chini kwa sababu this is part of their play na pia ni nzuri kwa open intelligence. Jiulize iweke mitusi yoote hii mnayovurumisha humu 24 hili dude halijafungwa?
Suala lingine, kutokana na unyeti wa kazi zenyewe wao kushughulika na hili dude is beneath them kwa sababu kinachotishia usalama wa nchi humu. Hata C wote walipokuwa wanapigwa presha kuhusu hili dude wao walisema they have a bigger fish to fry.
HIvuo endeleeni kukamua tuu
Usiwaze mkuu tuko pmj sa hivi tunaongelea uwezekano wa mchato kutojua kinachoendelea kwa boys2men yan wanafkir non wanafanya nn hafu pia tunazungumzia ujio wa yule pastori toka naija