Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma


Sidhani kama hii kitu ipo viable kwa sasa. Kwa jinsi hali ya mambo ilivyo kwa sasa, hawezi thubutu kufanya hivyo. Kwa maana anajua fika consequences za kufanya hivyo.
 
Mi ndo mana najitahidi kuwa makini humu,bahati nzuri sina nilijualo naloweza kuandika humu likaniletea matatizo,.labda waamue tu kuninyuka for fun.
 
Mkuu nakuelewa vizuri ila tu niwaombe sorry kwa kutoonekana kwenye kilinge hiki kwa masaa 8 nikutokana na majukumu tuendelee na codes after codes. Here we go..
 
Mi ndo mana najitahidi kuwa makini humu,bahati nzuri sina nilijualo naloweza kuandika humu likaniletea matatizo,.labda waamue tu kuninyuka for fun.
Ukiona uzi upo hapa na ina trend tambua kuwa kila kitu kipo ok under secured hivi jiulize kwanini jamaa wa njia panda walitishia nyau tulipoweka uzi hapa wa boss wao yule envoy wa opium war/manchu dynasty alivojimilikisha matrilion ya hela huko kwa mtukuzi kwahio we soma km ngumu leave it

Ata pale alipoteuliwa kwenda manchu dynasty watu walipiga kelele humu yule dogo huko kwa mtukuzi akijitokeza mchana kweupe sijui km yupo salama au ndo slow toxic .
 
Lini utafungua mkuu
We need this
Wengine hatuwez kwenda kushinda kule majukwaa ya celebrity au mapenz
We need these stufs mkuu
Mkuu hizi nyuzi zipo nyingi ila zikifunguliwa zinaondeshwa km flying UFO nitakuja na nyingine ni kwanini vijana waende anjuanian ilikuwa ni ridhaa ya nani na faida ni ipi ? Maana envoy wao inasemekana alileta mzigo mkubwa lkn ndo hivo clan de staff akayapiga mwishowe akapewa na zawadi ya kuwa envoy huko opium war.
 
Mkuu najua hilo,nazungumzia precautions in general sio uzi huu tu
 
Mi ndo mana najitahidi kuwa makini humu,bahati nzuri sina nilijualo naloweza kuandika humu likaniletea matatizo,.labda waamue tu kuninyuka for fun.
Mkuu Jiko la wana Usalama limo humu JF kuliko mtandao wowote humu kumejaa kila aina ya watu kuanzia verified user kama Viongozi pamoja na Makapuni kwa hawa wanaomwaga Nondo Wanalijua hilo na nadhani pia Wanajikinga nalo, Mtu anakuja na kutangaza kazi kisha anakomba CV za watu tena kwa Pm tu then huyo analala nazo mbele
 
Hapa nimekuelewa... Ila kwa mambo yanavyoenda na hali ilivyo mtaan nna imani kubwa kutakuwa na New generation ya B2M inakuwa formed
 
Usiwaze mkuu tuko pmj sa hivi tunaongelea uwezekano wa mchato kutojua kinachoendelea kwa boys2men yan wanafkir non wanafanya nn hafu pia tunazungumzia ujio wa yule pastori toka naija
 
Kweli kabisa.wacha tuendelee kujifunza kwenye hii declassifikeshen ya mafaili ya siri ya zamani.kwa sasaivi soo ni kivujisha siri mpya sio zile za zamani.
 
Hili dude uko mbele sijui kama halitafungiwa zizini maana naona kama Linataka kuleta kashkashi, Mawili Kuna midude umu ina mapdlock ume note ilo?
 
Usiwaze mkuu tuko pmj sa hivi tunaongelea uwezekano wa mchato kutojua kinachoendelea kwa boys2men yan wanafkir non wanafanya nn hafu pia tunazungumzia ujio wa yule pastori toka naija

Mkuu kwa hii kauli, nadhani nimeshagundua nini kinatafutwa humu!

all the best
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…