Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma






+





+


+


+



+


+


+



+
 
Mkuu embu elezea kuhusu komba
 
sorry mkuu kwa kukatisha uhondo! kuna project naiandaa ikimuhusu foreman wa Barabara na skandali za Murungula before and after. nimeshafikia 90%...CNN wameshakubali kuirusha. stay tuned bro
Be blessed mkuu
 
sorry mkuu kwa kukatisha uhondo! kuna project naiandaa ikimuhusu foreman wa Barabara na skandali za Murungula before and after. nimeshafikia 90%...CNN wameshakubali kuirusha. stay tuned bro
Hiyo mkuu itakuwa hot ebu ongea na bwenga kama atakubali utupie na sisi hapa ingawa what I know bwenga + mkarahbats are part and parcel.
 
Na mimi najiuliza hivyohivyo,
 
Nashangaa watu wamekuwa wavivu kufikiria,kila vifo ya utata ,basi kagame anahusishwa,yani waking hakuna majibu ,basi utasikia nasikia kagame anahusika,anahusikaje ukiuliza,wanaleta story tu za kutunga

End of thinking capacity ikfika mwisho ndio haya watu wnaaanza kutafuta mchawi Kiukweli Weng wa waswahil hawakudhan kagame atawapiga gap kwa mda mfupi aliokaa madarakani kafanya mambo mengi makubwa halafu hana majungu kinawauma sana Kuona vile hawa Wabongo ndo mana kila kitu Kagame kagame na hana muda na waswahili zaidi zaidi Rais wao kwenda kule kutafuta skills za kuongoza Tz [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cc:Aikambee
 
Naungana na ww kabisa,halafu ukiuliza anahusikaje,utakuta jitu linatoa povu tu na hakuna majibu
 
Naungana na ww kabisa,halafu ukiuliza anahusikaje,utakuta jitu linatoa povu tu na hakuna majibu

Hum wengi nimewatoa povu na wanaishia kutoa matusi mara anaiba kongo hua nasema hata majeshi ya Tz yapo kule lakin why hawarud na hayo madin inamaaana majesh ya tz n mafala kiasi hicho kama madin congo yapo yapo tu Yan uswahili ni kazi sana.
 
Hum wengi nimewatoa povu na wanaishia kutoa matusi mara anaiba kongo hua nasema hata majeshi ya Tz yapo kule lakin why hawarud na hayo madin inamaaana majesh ya tz n mafala kiasi hicho kama madin congo yapo yapo tu Yan uswahili ni kazi sana.
Hahaha,nawasikitikia sana!sometimes unasoma tu na kupita kimyakimya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…