Xav Emmanuel JF-Expert Member Joined Jul 12, 2018 Posts 215 Reaction score 316 Dec 24, 2019 #1 Tumia Kiswahili kuonesha utata wa Lugha. - Ni kwa vipi Lugha imekuwa gumzo kutokana na baadhi ya maneno kuingiliana, kufanana au kukosekana. - Au ni vipi watumiaji wa lugha walivyo kuwa na uelewa tofauti juu ya maana nyingi na zisizo kusudiwa za lugha, karibu. Mfano: Maneno kama "Nimegongwa" usipotoa ufafanuzi unaweza kuangukia kwenye ngono zembe. Karibuni. Starxav
Tumia Kiswahili kuonesha utata wa Lugha. - Ni kwa vipi Lugha imekuwa gumzo kutokana na baadhi ya maneno kuingiliana, kufanana au kukosekana. - Au ni vipi watumiaji wa lugha walivyo kuwa na uelewa tofauti juu ya maana nyingi na zisizo kusudiwa za lugha, karibu. Mfano: Maneno kama "Nimegongwa" usipotoa ufafanuzi unaweza kuangukia kwenye ngono zembe. Karibuni. Starxav
The best 007 JF-Expert Member Joined Oct 6, 2019 Posts 41,015 Reaction score 93,277 Dec 24, 2019 #2 Chuma mboga Kifo cha mende Kukunwa shusha mzigo Tigo N.k Sent using Jamii Forums mobile app
Xav Emmanuel JF-Expert Member Joined Jul 12, 2018 Posts 215 Reaction score 316 Dec 24, 2019 Thread starter #3 The best 007 said: Chuma mboga Kifo cha mende Kukunwa shusha mzigo Tigo N.k Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... yameisha yote Mkuu? kuna yale ya Makonda wa daladala [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Starxav
The best 007 said: Chuma mboga Kifo cha mende Kukunwa shusha mzigo Tigo N.k Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... yameisha yote Mkuu? kuna yale ya Makonda wa daladala [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Starxav
Mwifwa JF-Expert Member Joined Apr 3, 2017 Posts 48,474 Reaction score 125,866 Dec 24, 2019 #4 Xav Emmanuel said: yameisha yote Mkuu? kuna yale ya Makonda wa daladala [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Starxav Click to expand... Yataje
Xav Emmanuel said: yameisha yote Mkuu? kuna yale ya Makonda wa daladala [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Starxav Click to expand... Yataje
Chief Editor JF-Expert Member Joined Feb 18, 2019 Posts 780 Reaction score 2,269 Feb 12, 2020 #5 Hii inatokea kwenye lugha nyingi yaani neno linapata maana mpya ambayo imeegemezwa kwenye maana ya awali hiyo huitwa utanuzi wa maana (semantic expansion) Sent using Jamii Forums mobile app
Hii inatokea kwenye lugha nyingi yaani neno linapata maana mpya ambayo imeegemezwa kwenye maana ya awali hiyo huitwa utanuzi wa maana (semantic expansion) Sent using Jamii Forums mobile app