Nimependa huyo alieuliza kama amekua google
- doricemwalongoInaonekana wewe dada analipwa mshahara mnono sana maana duuu! Ivi unafanya kazi ofisi gani mpaka unapata muda wa kufanya hayo yote acha hiyo tabia binti hayo ni maisha yao waache haitakusaidia chochote binti
- ayah.babyBii vuzi angekuwa na hela angefanyiwa birthday ya anti na iyobo kaa guest.pliiiz safe the crap Hana hela wala kazi
Like
- robert_donaldrobitoWe nae umetuchosha kila kitu ukijue ww umekua Google kwendraaaaa bana hata kama hawajanunuliana nyumba yanakuhusuuuuuu
- phionafifiiLool u are one sad lady mange,like seriously u need to grow up
- sophy_kayombondo maana haumpendi huyu mwanamke @getrudeshussa
- noree6600Ww muongo sana mange huwa siyaaminigi maneno yako alaf ndo maana hao wakenya wanasema wabongo wanawazaga. Umbea tuu
Mange amedata, umesikia ameweka clip "nampenda binti kizee" kwenye caption ya baba na mama TNimependa huyo alieuliza kama amekua google
Hahaha ...kumbe ndo.yeye..nimesikia sikia.tu.bado sijaipata hio.clip...aiseeMange amedata, umesikia ameweka clip "nampenda binti kizee" kwenye caption ya baba na mama T
Umeongea la maana sana,KAMA SI WAKE YEYE NDIO BOYA.Huo mjengo wa huyo kijana utawatoa roho wenye wivu maana wanaacha kufanya mambo yanayowahusu wanaanza kupika majungu kuhusu huo mjengo,hongera zake kijana ila kama anatupiga kamba atakuwa boya sana!
Hivi mange na zari nani mkubwa jamani??haahahaMange amedata, umesikia ameweka clip "nampenda binti kizee" kwenye caption ya baba na mama T
Diamond ana mheshim mwanaume mwenzie kamwe hawez mpa dongo ivanHahaha ...kumbe ndo.yeye..nimesikia sikia.tu.bado sijaipata hio.clip...aisee
ila seriously naomba niulize kua ule ujumbe aliouweka mr diamond kwenye zile picha za nyumba ulikua wa ivan ama mange?? Koz naona diamond angepeleka hayo maneno kwa mange sio.ivan namuona jamaa yuko gentlemen hana time na mtu yeye hua anapost maburungutu ya hela tu.