Mambo liz umesalimika na mabomu ya Arusha leo ? nilikuwa na hofu juu yako.Mazungumzo ambayo hayakuhusishi wewe inabidi uyaache hapohapo ulipoyasikia ni kosa kama kupiga chabo,watu hawataki kuwapa privacy wenzao.Halafu hili la ukabila nitapambana nalo mpaka waelewe watu.Hamna limitations tena dearest....siri za vyumbani nazo zinaanikwa barazanii!!
Mzima lakini?
kwani hiyo roho mbaya ipo kwenye kabila au kwa mtu binafsi?
another generalization at work......................
sasa hivi hata yanayozungumzwa kitandani....jinsi mtu anavyoona sifa kutoka nje ya ndoa yote yanawekwa hapa....kazi kwetu kujadili.....:A S 13::A S 13:
sasa hivi hata yanayozungumzwa kitandani....jinsi mtu anavyoona sifa kutoka nje ya ndoa yote yanawekwa hapa....kazi kwetu kujadili.....:A S 13::A S 13:
si yetu kazi kusoma na kujadili tu hakuna la ziada....ukichoka unasepa kimoja!
mimi mzima,kweli nina m-miss Hashy.....akirudi nikiwa sipo mwambie nilim-miss sana!!!
Michelle unaonekana una busara sana, nimeona nikupongeze tu ningetamani hata kukuona kama upo uwezekano.
Mambo liz umesalimika na mabomu ya Arusha leo ? nilikuwa na hofu juu yako.Mazungumzo ambayo hayakuhusishi wewe inabidi uyaache hapohapo ulipoyasikia ni kosa kama kupiga chabo,watu hawataki kuwapa privacy wenzao.Halafu hili la ukabila nitapambana nalo mpaka waelewe watu.
kaaazi kweli kweli!
Mhuuuu!!!
Mhh unaenda wapi tena mpaka mchumba akija akukose?
habari wana jf
Leo nilikuwa mahali napata chakula cha mchana,ghafla wakaingia wadada wawili,tukasalimiana vizuri tu,baada yahapo kila mmoja akaendelea na makulaji yake,sasa wakawa wanapiga story za kabila la kichaga hasa upande wa wanaume,kati yao akawa anawaponda sana wanaume kwa kusema ooh mimi hata nikipata mchumba wa kichaga hata kama ana hela kiasi gani sikubali kuolewa nae,wana roho mbaya sana,mwenzake naye akaongezea akasema hata wamasai na wagogo wako hivyo.mi nikasepa nikawaacha wanaendelea na story zao.
wana jf hawa wadada wako sawa au?
nawasilisha!:A S 112:
Join Date : 16th November 2010
Posts : 50
Thanks 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power : 21
Belinda Jacob angesema job tru tru.kaaazi kweli kweli!
huyu chali ni MPASUAMAJIPU be careful buddy hahaha!hilo tu?
asante sana kwa kuona nina busara!!
huyu chali ni MPASUAMAJIPU be careful buddy hahaha!
Sasa umewakilisha nini ? uelewa wako finyu,ukabila, au dhana potofu.Halafu ubahili wa wanaume wa Kichagga we utakudhuru vipi ? we si mwanaume au nawe unataka kuolewa.
Siungewafuata ukawauliza?Mnaboa na kuchambua kabila letu kila leo!!Hamachoki??
Ila kawataja wanaume dada Lizzy, nadhani wanawake wa Kichaga wako fresh...Wachakalikaji I like it.