ruby garnet
JF-Expert Member
- Apr 10, 2017
- 2,869
- 3,852
330000-400000 KWA 1KILOGRAMThamani yake ikoje
Naomba bax tuwasilianeNDIYO
Hapana ni 600,000 1gram330000-400000 KWA 1KILOGRAM
HelloNjoo PM tujadiliane way forward...
Njoo PM tujadiliane way forward...
Nisaidie bei ya mercury kwa 1gramNDIYO
300,000/=dol per 1gramThamani yake ikoje
Habar mkuuNjoo PM tujadiliane way forward...
mshana jr hebu njoo huku. Unawakumbuka wale wamasai wenye mercury? Hebu njoo tucheke tena, tena kwa kicheko kikuuHabari za muda huu wajasiriamali wenzangu. kwa mwenye utaalamu kidogo na hii kitu naomba anijulishe tafadhali
Red mercury is a myth. Mwabie Huyo brother ako ni BILIONEA kama anayo kweli wameishaangaika watu wengi kuipata lakini haipo.....Nina brother wangu ana red mercury zaidi ya gram 100 yenyewe ni nzitonzito na ukiiweka kwenye maji inaweka yigololi gololi na hata ikimiminika chini hainasi mchanga ni nzitonzito nyekundu
Anatafuta mtejaRed mercury is a myth. Mwabie Huyo brother ako ni BILIONEA kama anayo kweli wameishaangaika watu wengi kuipata lakini haipo.....
Tuna hangaika kupata mteja hadisasa,, hatujui tunampataje..??Red mercury is a myth. Mwabie Huyo brother ako ni BILIONEA kama anayo kweli wameishaangaika watu wengi kuipata lakini haipo.....
Anapangaje being wakati haijajulikana IPO nyizi ngapi yangu aivune na aliihifadhi vipi?Yeye anasema mil15 kwa gram 1
Kama unauhakika na usemacho na umemaanisha ulichonacho karibu.300,000/=dol per 1gram
Red mercury is a myth. Mwabie Huyo brother ako ni BILIONEA kama anayo kweli wameishaangaika watu wengi kuipata lakini haipo.....
Nisaidie bei ya mercury kwa 1gram
Nina brother wangu anayo red mercury kimiminika chake ni kizito na haichanganyiki na maji bali itakua hivyohivyo