Utatambuaje Mercury fake na original kwa kutumia maji?

Nina brother wangu ana red mercury zaidi ya gram 100 yenyewe ni nzitonzito na ukiiweka kwenye maji inaweka yigololi gololi na hata ikimiminika chini hainasi mchanga ni nzitonzito nyekundu
Red mercury is a myth. Mwabie Huyo brother ako ni BILIONEA kama anayo kweli wameishaangaika watu wengi kuipata lakini haipo.....
 
Hapa inaweza zidi kama haujashuka % nyingi za uzima wake
 
Ila tu kwa ushauri wangu juwa making kuna wanao itwa dar es salaam square wao wanadai wanamtu na wakati huo watakuzungusha mjini mpaka ushangae na mwishowe hata kutapeliwa Mali yako

Narudia tena kama bado unayo na IPO njema,Na unaamani ya moyo karibu tuendelee mbele.
 
Red mercury is a myth. Mwabie Huyo brother ako ni BILIONEA kama anayo kweli wameishaangaika watu wengi kuipata lakini haipo.....


Mkuu hiyo kitu ipo Bhana....sema na matapeli wamekuwa wengi pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…