Utatoa maamuzi gani?


Mbona jibu simpo tu!! Kwani cha kwanza ni nini?! kufadhiliwa ili asiende jela au mke wake kutoka nje ya ndoa?! Kama mke huyu angetoka nje ya ndoa kwa ajili tu ya kumuokoa yeye asiende jela, basi hapo pagumu kuamua kwavile mwanamke aliamua kujidhalilisha kwa ajili ya mumewe..... infact, ningemsamehe! Lakini kwa hii issue ni kwamba mwanamke alikuwa sio mwaminifu tangu hapo....hivyo, kama hukumu yangu kwa mke aliyeisaliti ndoa yangu ingekuwa ni taraka basi huyu ningempa na hivyo visenti vya hawala yake ningevichukulia kama faini tu ya umalaya wao!
 
lupango noma,unaweza ukaingia huko unaitwa mr ukatoka unaitwa aunty fulani...ningeuchuna kimya na miye ntafute kimada wangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…