Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 12,001
- 27,175
Mambo vp wakuu?
Kwa mtu wa kawaida anawezaje kutofautisha kati ya gari inayotumia petroli na ile ya dizeli hasa kwa gari hizi ndogo kama haikuandikwa?
Kuna mahali nimesoma kuna mtu kasema kwamba gari zinazotumia diesel kwenye Kipimo cha rpm ule mstari mwekundu huanzia kwenye 4,500 kwa maana haiwezi kuzidi 5000 lkn kwa upande wa Petroli mstari mwekundu huanzia karibu kwenye 6000 hadi 8000 kumaanisha kwamba rpm ya gari za petroli ipo juu.(angalia picha)
Je wewe unadhani una mbinu gani mbadala ya kujua tofauti kati ya gari ya petroli na dizeli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mtu wa kawaida anawezaje kutofautisha kati ya gari inayotumia petroli na ile ya dizeli hasa kwa gari hizi ndogo kama haikuandikwa?
Kuna mahali nimesoma kuna mtu kasema kwamba gari zinazotumia diesel kwenye Kipimo cha rpm ule mstari mwekundu huanzia kwenye 4,500 kwa maana haiwezi kuzidi 5000 lkn kwa upande wa Petroli mstari mwekundu huanzia karibu kwenye 6000 hadi 8000 kumaanisha kwamba rpm ya gari za petroli ipo juu.(angalia picha)
Je wewe unadhani una mbinu gani mbadala ya kujua tofauti kati ya gari ya petroli na dizeli?
Sent using Jamii Forums mobile app