Nafsi tatu zinazofundishwa na madhehebu ya kikristo maana yake nini? Mantiki yake ni ipi? God is not a substance that can be divided into pieces.
Yako madhehebu ya kikristo yanayofundisha kwamba nafsi tatu ni God's manifestation in various occasions. Naweka hoja mezani tujadili.
Je, Mungu kweli ni watatu wenye asili moja na umoja wao unafanya wote watatu tuwaite ni mungu mmoja??
Yako madhehebu ya kikristo yanayofundisha kwamba nafsi tatu ni God's manifestation in various occasions. Naweka hoja mezani tujadili.
Je, Mungu kweli ni watatu wenye asili moja na umoja wao unafanya wote watatu tuwaite ni mungu mmoja??