Tariqfinest
Member
- Jul 13, 2021
- 16
- 23
Pepe, Bocco,ibraUtatu upi utafanya vizuri siku ya leo
A) Pape O Sakho, John Bocco na Ibra Ajibu
B)Mushimba Mugalu , Peter Banda na Bwalya
C) Medie Kagere , Hassa Dilunga na Morisson
Mna top scr wa last season #Bocco naPepe, Bocco,ibra
UCHURO tu hapo.Utatu upi utafanya vizuri siku ya leo
A) Pape O Sakho, John Bocco na Ibra Ajibu.
B)Mushimba Mugalu , Peter Banda na Bwalya.
C) Medie Kagere , Hassa Dilunga na Morisson
Tukipigwa hatutaweza kujitetea kwa sababu nyepesi kama hiyo, hatuko tayari kuaibika kama Yanga.Leo ingefaa iwe game ya utambiisho tu na isiwe kwa ajili ya Matokeo.
Hivyo Half time kiingie kikosi kingine chote, wabadili wachezaji wote wanao anza. Ili tuonyeshe ukubwa wetu