Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama anapenda kuiba vitu vidogo vidogo, soksi, nguo,bukta haswa vitu unavyo vaa, or usiku ukishtuka unamkuta yuko macho( si mara zote)Wataalamu Kwa jinsia zote njooni mfunguke ili atleast mtuokoe vijana tusiangukie matopeni uko natanguliza shukrani
AiseeUkiona hizi dalili
1. Hataki uwe na mchepuko
2. Anaomba omba sana hela
3. Anataka na ya kutolea
4. Anakagua simu yako
5. Hadi fail la calculator kalipiga password
6. Good night saa mbili
7. Hakupigiii Simu mpaka wewe ndo umpigie
8. Hana story na wewe zaid ya kusema nambie
9. Anachukia ukimwambia siku hizi umebadilika
Amini haupo salama ukiona dalili hizi
Mkuu unaonekana unaujua sana nakupa ofa niloge mimi.Kuna uchawi wa aina nyingi wewe unaongelea upi?
Kama nihivyo sawa tu.Mkuu unaonekana unaujua sana nakupa ofa niloge mimi.
Fanya fastaKama nihivyo sawa tu.
Masharti.. Hana free will.. Vitu vingi ataviwekea question mark kwa upande wako Lakini kwa upande wake vingi atavipigia debeWataalamu kwa jinsia zote njooni mfunguke ili atleast mtuokoe vijana tusiangukie matopeni uko.
Natanguliza shukrani
Sisi hatudeal nawatu walio kata tamaa ya maisha hao niwetu tiyariFanya fasta