Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,677
Niliwahi kuleta uzi wangu hapa kuhusu hili suala mwezi August, kwenye stories of change kwa lengo la kutoa ushauri kwa serikali wa namna bora ya kukabiliana na hili suala.
www.jamiiforums.com
Suala la 'Machinga Economy' lina pande mbili zenye uhalisia na ukweli.
1) Uhalisia wa kwanza ni kwamba, hawa machinga kuna kipato fulani walikuwa wanakitengeneza na ambacho kilikuwa kinawawezesha kuendesha maisha yao na familia zao. Huu ni ukweli dhahiri, ambao kila mmoja anaweza ku prove.
2) Uhalisia wa pili ni kwamba, ni kweli pia shughuli za wamachinga zilikuwa na sifa ya kufanyika bila utaratibu, hivo pia zilikuwa zinachangia pakubwa kwenye kuharibu taswira ya miji, majiji, na kuchafua pia mazingira.
Kwenye uchumi wowote ule, unavokuwa na two conflicting truths, kama hizo hapo juu, maana yake lazima kuwe na planning mechanism na decision making ambayo italeta mambo kwenye equilibrium.
Ndio tunachukia shughuli za wamachinga kwasababu zinaharibu mazingira, lakini kwani shughuli hizi za wamachinga si zimeajiri pia maelfu ya vijana na kupitia umachinga huu wameweza na wao kupata vipato vya kuendesha familia zao??
Kati ya mambo hayo mawili, kuna kimoja kinatengeneza positive externality (kipato na ajira) na kingine kinaleta negative externality (uchafuzi wa mazingira kutokana na hizi shughuli za umachinga)
Kwenye hali kama hii, ndipo sasa wachumi huwa tunatoa ushauri wetu.
Na mimi ushauri wa kwanza ilikuwa ni kwanza kufanya uhakiki na usajili wa shughuli zote za wamachinga, kisha baada ya hapo kuleta kodi ambayo ndiyo ingetuleta kwenye equilibrium.
Wazo langu mimi ilikuwa ni kwamba hawa wamachinga wangekuwa wanatakiwa kuanza kulipa kodi ama tozo kali sana ambazo hizo kodi zingetumika kurekebisha negative externality inayotokana na shughuli zao.
So, machinga ambaye angeshindwa kulipa kodi, ina maana anakuwa tayari anakosa sifa za kuendelea kufanya biashara kwa mujibu wa sheria.
So, in the long run, kwa kipindi hata cha miaka mitano hizi shughuli lazima zingekuwa automatically stabilized.
Na hapa ndipo tunaposema, kodi inaweza kutumika ku discourage baadhi ya shughuli.
*****
Yote nnayoshuhudia kwa sasa kuwaondoa kwa nguvu, naona itakuwa ni conter productive na inaweza kuleta violence au hata kusababisha vitendo vya kihalifu kuongezeka, kitu ambacho kitazidisha negative externalities.
Kwa hiyo itoshe tu kusema, sijafurahishwa na namna hili zoezi likivotekelezwa.
N.Mushi
SoC01 - Pendekezo: Serikali iweke Tozo kwa Wamachinga kukabiliana na changamoto kwenye Majiji na Miji
Kwa miaka mingi serikali imekuwa ikipambana na tatizo la wajasiriamali wadogo wadogo (maarufu kama wamachinga) ambao wametapakaa kwenye miji mikubwa ya nchi hii. Ukiangalia kwa jiji kama Dar es salaam, imekuwa sasa ni kawaida kuona mabanda ya wamachinga karibu kila kona unayokatiza. Ni kweli...
www.jamiiforums.com
Suala la 'Machinga Economy' lina pande mbili zenye uhalisia na ukweli.
1) Uhalisia wa kwanza ni kwamba, hawa machinga kuna kipato fulani walikuwa wanakitengeneza na ambacho kilikuwa kinawawezesha kuendesha maisha yao na familia zao. Huu ni ukweli dhahiri, ambao kila mmoja anaweza ku prove.
2) Uhalisia wa pili ni kwamba, ni kweli pia shughuli za wamachinga zilikuwa na sifa ya kufanyika bila utaratibu, hivo pia zilikuwa zinachangia pakubwa kwenye kuharibu taswira ya miji, majiji, na kuchafua pia mazingira.
Kwenye uchumi wowote ule, unavokuwa na two conflicting truths, kama hizo hapo juu, maana yake lazima kuwe na planning mechanism na decision making ambayo italeta mambo kwenye equilibrium.
Ndio tunachukia shughuli za wamachinga kwasababu zinaharibu mazingira, lakini kwani shughuli hizi za wamachinga si zimeajiri pia maelfu ya vijana na kupitia umachinga huu wameweza na wao kupata vipato vya kuendesha familia zao??
Kati ya mambo hayo mawili, kuna kimoja kinatengeneza positive externality (kipato na ajira) na kingine kinaleta negative externality (uchafuzi wa mazingira kutokana na hizi shughuli za umachinga)
Kwenye hali kama hii, ndipo sasa wachumi huwa tunatoa ushauri wetu.
Na mimi ushauri wa kwanza ilikuwa ni kwanza kufanya uhakiki na usajili wa shughuli zote za wamachinga, kisha baada ya hapo kuleta kodi ambayo ndiyo ingetuleta kwenye equilibrium.
Wazo langu mimi ilikuwa ni kwamba hawa wamachinga wangekuwa wanatakiwa kuanza kulipa kodi ama tozo kali sana ambazo hizo kodi zingetumika kurekebisha negative externality inayotokana na shughuli zao.
So, machinga ambaye angeshindwa kulipa kodi, ina maana anakuwa tayari anakosa sifa za kuendelea kufanya biashara kwa mujibu wa sheria.
So, in the long run, kwa kipindi hata cha miaka mitano hizi shughuli lazima zingekuwa automatically stabilized.
Na hapa ndipo tunaposema, kodi inaweza kutumika ku discourage baadhi ya shughuli.
*****
Yote nnayoshuhudia kwa sasa kuwaondoa kwa nguvu, naona itakuwa ni conter productive na inaweza kuleta violence au hata kusababisha vitendo vya kihalifu kuongezeka, kitu ambacho kitazidisha negative externalities.
Kwa hiyo itoshe tu kusema, sijafurahishwa na namna hili zoezi likivotekelezwa.
N.Mushi