Utatuzi wa wamachinga ilikuwa ni kuwatoza kodi. Hiyo ndo ingeleta Win-Win kwa machinga na Serikali

Sheria zipo zifuatwe...

Machinga watembeza matenga mabegi waendelee na umachinga wao sehemu zinazoingilia bila Trespassing.

Wafanyabiashara wengine wafanye biashara kwenye maeneo yanayoruhusiwa / yametengwa, wajitahidi hata kuungana wachukue fremu.

Kodi hakuna anayependa kulipa ni Sheria kwahio wao na wengine wote tutake tusitake tutazitoa tu labda wale watembeza bidhaa kwenye mabegi / matenga maofisini bila trespassing.

Sidhani kama kwa nchi yetu the only option ya kujipatia mkate wa kila siku ni kuchuuza, ukiona huku hakuna opportunity jaribu pale..., ukizingatie walio juu hawana msaada wowote...

 
Wajiunge wapangishe fremu

Hii ya kutafutiwa wote watapata?.
Serikali itakutafutia fremu?
Hata km ni vizimba lazima ufate utaratibu wa Soko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…