Utaushinda uzinzi tu ukishinda vishawishi vya uzinzi

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Ndugu zanguni najua wengi wanahaingaika na hii sekta
labda tukumbushane ukweli ni muhimu kujua uzinzi ni ngumu sana kuushinda lazima
ujue src ya uzinzi na uushinde ..uwezi kushinda uzinzi wakati umeshindwa kuushinda
vishawishi vya uzinzi

kuna neema ya mungu ukashinda uzinzi hata unapoaingia chumbani kwenye guets..wapo marafiki najua wamepona kushinda uzinzi wameshavua nguo wanaanza kuvaa condom wakapandisha mguu wa kushoto
akipandisha wa kulia akasikia ganzi...akatoka nje akurudi tena....

Nini maana yake kuna watu wanazini kabla hata awajuvua nguo wenzao...unaweza jua kuna mtu analala na mkewe usiku akifikiria kesho ana appointment ya demuwake..hii ndio tunayoongoleaa pengine umehangaika na unatamani kuushinda uzinzi lakini src ya kwanza shinda ile appointment..akipiga simu jifanye kama umesikia simu ya kifo cha mamayako ama dadayako......,,mi naweka hili wazi kusaidiana auitaji kwenda kwa waganga
wengi wana kuwa na hisia za ajabu ajabu haya ndio maisha ya kuyashinda na ndipo utakuwa na amani na furaha moyoni mwako...kuna wakati unapigiwa simu na mwanamke ambae unatamani u achane nae mpe simu yako mkeo mweleze ajibu nini nakwambia una penya kwenye uzinzi

wakati mwingine nilikuwa na amini bangi naweza kuiacha tu mpaka nikwa na maisha mazuri..lakini si kweli ni kwamba niliamini formsix nilifaulu nikiwa navuta bangi..chuo nitashindwa nini ??kweli nkamaliza nikiwa navuta msuba ..baada ya kumaliza shule maisha yakawa kombo ndipo nikaamini ni neema ya mungu tu ndio inaweza kuniokoa na si cheti changu ,,niliamini cheti pekee akiwezi kunipa kazi ila ni favour ya mungu ndio inaokoa hapo nikafundishwa jinsi ya kuishinda bangi na ilifika nikiona hata spinachi nasiki miguu inatetemeka ..lakini kumbe nikuamua kuweza...kuna watu ambao awawezi kusaidika hata uombe maombi ya kutoa machozi ya damu
 
Kuna watu wameoa leo ama kuolewa na kuamini wamepewa na mungu ..lakini ukawa mzinzi wa milele
kuna mwanamke mmoja namjua ni mtu mkubwa tu serikalini leo hii anakwambia pamoja na kuolewa yeye
si kwamba atoshelezwi anapewa haki yake lakini asipolala na mwanaume mwingine asikii hamuu kabisa
inapofika anasema akimaliza tendo na mumewake anaenda bafuni anachukua tumbaku anaweka kule sehemu
alafu anamwagia maji ili asikie mchubuko ndio anarishika..usione wanawake wana magari yao ndani wanashuguli so utaona kuna mr kama mr na mr tumbaku..hao ni nje ya wale ambao akimaliza kazi ama wakati wa lunch time lile lisaa limoja linaangamiza wake za watu wengi sana sana...juzi nilimtania mkewangu kama ingekuwa inaread km alafu unajua umeacha na km kadhaa ukirudi unaisoma aisee ndoa nyingi zingekuwa zaidi ya vita vya al shababu
 
Kuna baba mmoja kanisani alikuwa na haka kaugonjwa cha uzinzi..ameoa na ni mzee wa kanisa
alifika wakati kuna dada mmoja mzuri sana alikuwa chuo akawa anatafuta sehemu ya kuabudu
akawa anafundisha pale church nakwamabia yule dada akiamka yule mzee unamsiskia anafanya shriii shriii
wakati anafanya hivyo unahsi kuna mtu anamkaba kumbe anashikilia athuman wake asiamke zaidi...hali hii
akajulishwa yule dada akamwombea sana sana akamwambia najua tatizo linakosumbua ...fanya 1-5
yule mzee leo anaishi kama yuko magogoni na fammilia yake ..akuwahi kukosa ibada wala misa za kati kati
so unaweza kuona mnaweza kuwa na mchungaji kaniisani anahubiri huku anazini...msipokuwa makini mnaishia washarika kuzini milele na kufikiria amtapeleka wapi lawama...someni sana shetana ni mbaya sana sana
shetani alipofukuzwa alipoteza enzi...enzi ni kitu muhimu sana mwanaume anaweza kufikia sehemu akashindwa mwanamke akapita mwanaume aalipoteza enzi pale eden ..ni muhimu kujua uzinzi unakufanya unapoteza enzi yako ndio maana wengi wazinzi wanaishia maisha mabaya sana sio kwamba awana pesa la hasha enzi imewakimbia...kazini kunaharibika na mengineyo geuka sasa badili maisha yako rudi kwenye nguvu zako mungu akupe favour
 
ahsante kwa somo.
nilikuwa napita tu.. ngoja nirudi jukwaa la siasa.
 
somo zuri wazinzi sasa ni muda wa kujilekebisha ili msipoteze enzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…