Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Ndugu zanguni najua wengi wanahaingaika na hii sekta
labda tukumbushane ukweli ni muhimu kujua uzinzi ni ngumu sana kuushinda lazima
ujue src ya uzinzi na uushinde ..uwezi kushinda uzinzi wakati umeshindwa kuushinda
vishawishi vya uzinzi
kuna neema ya mungu ukashinda uzinzi hata unapoaingia chumbani kwenye guets..wapo marafiki najua wamepona kushinda uzinzi wameshavua nguo wanaanza kuvaa condom wakapandisha mguu wa kushoto
akipandisha wa kulia akasikia ganzi...akatoka nje akurudi tena....
Nini maana yake kuna watu wanazini kabla hata awajuvua nguo wenzao...unaweza jua kuna mtu analala na mkewe usiku akifikiria kesho ana appointment ya demuwake..hii ndio tunayoongoleaa pengine umehangaika na unatamani kuushinda uzinzi lakini src ya kwanza shinda ile appointment..akipiga simu jifanye kama umesikia simu ya kifo cha mamayako ama dadayako......,,mi naweka hili wazi kusaidiana auitaji kwenda kwa waganga
wengi wana kuwa na hisia za ajabu ajabu haya ndio maisha ya kuyashinda na ndipo utakuwa na amani na furaha moyoni mwako...kuna wakati unapigiwa simu na mwanamke ambae unatamani u achane nae mpe simu yako mkeo mweleze ajibu nini nakwambia una penya kwenye uzinzi
wakati mwingine nilikuwa na amini bangi naweza kuiacha tu mpaka nikwa na maisha mazuri..lakini si kweli ni kwamba niliamini formsix nilifaulu nikiwa navuta bangi..chuo nitashindwa nini ??kweli nkamaliza nikiwa navuta msuba ..baada ya kumaliza shule maisha yakawa kombo ndipo nikaamini ni neema ya mungu tu ndio inaweza kuniokoa na si cheti changu ,,niliamini cheti pekee akiwezi kunipa kazi ila ni favour ya mungu ndio inaokoa hapo nikafundishwa jinsi ya kuishinda bangi na ilifika nikiona hata spinachi nasiki miguu inatetemeka ..lakini kumbe nikuamua kuweza...kuna watu ambao awawezi kusaidika hata uombe maombi ya kutoa machozi ya damu
labda tukumbushane ukweli ni muhimu kujua uzinzi ni ngumu sana kuushinda lazima
ujue src ya uzinzi na uushinde ..uwezi kushinda uzinzi wakati umeshindwa kuushinda
vishawishi vya uzinzi
kuna neema ya mungu ukashinda uzinzi hata unapoaingia chumbani kwenye guets..wapo marafiki najua wamepona kushinda uzinzi wameshavua nguo wanaanza kuvaa condom wakapandisha mguu wa kushoto
akipandisha wa kulia akasikia ganzi...akatoka nje akurudi tena....
Nini maana yake kuna watu wanazini kabla hata awajuvua nguo wenzao...unaweza jua kuna mtu analala na mkewe usiku akifikiria kesho ana appointment ya demuwake..hii ndio tunayoongoleaa pengine umehangaika na unatamani kuushinda uzinzi lakini src ya kwanza shinda ile appointment..akipiga simu jifanye kama umesikia simu ya kifo cha mamayako ama dadayako......,,mi naweka hili wazi kusaidiana auitaji kwenda kwa waganga
wengi wana kuwa na hisia za ajabu ajabu haya ndio maisha ya kuyashinda na ndipo utakuwa na amani na furaha moyoni mwako...kuna wakati unapigiwa simu na mwanamke ambae unatamani u achane nae mpe simu yako mkeo mweleze ajibu nini nakwambia una penya kwenye uzinzi
wakati mwingine nilikuwa na amini bangi naweza kuiacha tu mpaka nikwa na maisha mazuri..lakini si kweli ni kwamba niliamini formsix nilifaulu nikiwa navuta bangi..chuo nitashindwa nini ??kweli nkamaliza nikiwa navuta msuba ..baada ya kumaliza shule maisha yakawa kombo ndipo nikaamini ni neema ya mungu tu ndio inaweza kuniokoa na si cheti changu ,,niliamini cheti pekee akiwezi kunipa kazi ila ni favour ya mungu ndio inaokoa hapo nikafundishwa jinsi ya kuishinda bangi na ilifika nikiona hata spinachi nasiki miguu inatetemeka ..lakini kumbe nikuamua kuweza...kuna watu ambao awawezi kusaidika hata uombe maombi ya kutoa machozi ya damu