Bwana kaduga
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 863
- 1,812
Nipo njiani naelekea shamba kuvuna mpunga kwakua ndio nilio upanda.
Kumbuka kutenda mema kwa sasa ukiwa na uhai hapa dunia kwa kuwa ndio mavuno yako hapo baadae.
JAMIIFORUM GREAT THINKERS.
Nimetaka tu kuwapa wosia wa kuwa binadamu wema hapa duniani.Samahani naomba kukuuliza nia yako hapa ' Kuu ' ni ipi kati ya hizi mbili?
Je unataka kututangazia na kuturingishia kwamba unamiliki Shamba na Mavuno safari umeyapata mengi?
au
Je unataka tu kutupa ' Wosia ' wa jinsi ya kuwa Binadamu wema hapa duniani?
Nitashukuru nikipata majibu juu ya nilichokuuliza tafadhali.
Kinywajihuu uchaguzi mkuu tumepanda soda sasa mpaka sa hiv sijui tumevuna nini
Bila shaka hii ni Tanga line[emoji3]naongezea msisitizo "POLISI WA TANZANIA MTAVUNA MNACHOKIPANDA" tiini amri za anayemipa hela ya kula msahau za anayemipa pumzi. I HATE YOU. Tukio la yule mama limeniuma sana