Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Kwani wewe hudharauliki; au hujioni?Yaan ndo maan mnadharaulika mitandaon kwa kukosa akili za kutoa hoja za msingi na kujibu hoja, ona hapa sasa mada ingine majibu mengine πππππ
Naona wanao walikuwa butiamaKwani wewe hudharauliki; au hujioni?
kazi kweli kweliKama tunataka maendeleo lazima tuondoe utawala wa kindugu ndugu katika taifa letu.
Haya Mambo hayakufanyika Nyerere akiwa Rais baada ya kufa tu ndio yalianza!!
Kwani mnafikiri yeye alishindwa kumteua mkewe kuwa Waziri? Lakini alifuata maadili ya kiuongozi.
Baada ya Kufa wakaanza kupeana fadhira za Urais kwa kuanzia Zanzibar
Karume alipewa urais, badae January akapewa uwaziri, Nape naye akapewa uenezi ccm na badae ubunge na uwaziri.
Bila aibu Ridhiwani alipewa ubunge uku baba yake akiwa Rais, Badae bila aibu Mke wa Kikwete akapewa ubunge.
Maajabu Kikwete alitaka kumlisisha Membe Urais.
Kwenye utawala wa Magufuli akawekwa Dotto James kwenye pesa zote za Nchi azisimamie.
Nasikia Waziri wa utawala Bora ana uhusiano wa karibu na Rais wa Sasa ( Undugu) Sina uhakika lakini na ili Ila kiukweli Kama tunategemea maendeleo kwa kuweka tu watu kisa tuna uhusino nao tusahau kuhusu maendeleo.
Ndugu zangu hakuna Nchi inayoendelea kwa kupeana fadhira kiasi hiki kwani watu Hawa uwa hawafanyi chochote kwa kuwa wanajua watakingiwa kifua.
Utashangaa kesho na kesho kutwa wakina Ridhiwani na Makamba wanapewa fadhira ya Urais na idara za usalama zipo sinawakenulia meno tu.
Vetting hakuna tufike sehemu tuwe serious bunge sio sehemu ya dampo la uchafu na takataka zote ni sehemu yakutunga sheria.
Uwalimu wa primary na kutunga sheria kwa kingereza wapi na wapi?.
TISS Ni wakati wa kusimama kidete hata kwenye ajira kwenye mawizara na BOT ni uchafu mtu kuna kipindi yalitolewa majina ya wafanyakazi wa BOT ni majonzi makubwa.
Mtoto wa Lowassa, Mtoto wa Sumaye, Mtoto wa nchimbi, Mtoto wa pinda na watoto wa wanasiasa kibao ndio wanaofanya Kazi BOT.
Undugu, Ukabila, Udini na kujuana Ni vitu ambavyo tunatakiwa kuviondoa Kama tunataka maendeleo.
Sina wana wanaojikomba komba na kuvalia matisheti ya ajabu.Naona wanao walikuwa butiama
Ova
Hahaha,wanao wale banaSina wana wanaojikomba komba na kuvalia matisheti ya ajabu.
JWTZ Jeshi la Wakurya Tangu Zamani....Kiboko Nyerere kna wengine wenye nasaba naye kama Joseph Warioba, Joseph Butiku, Nyirabu gavana benki jeshini akina Jenerali Musuguri nk
Kama tunataka maendeleo lazima tuondoe utawala wa kindugu ndugu katika taifa letu.
Haya Mambo hayakufanyika Nyerere akiwa Rais baada ya kufa tu ndio yalianza!!
Kwani mnafikiri yeye alishindwa kumteua mkewe kuwa Waziri? Lakini alifuata maadili ya kiuongozi.
Baada ya Kufa wakaanza kupeana fadhira za Urais kwa kuanzia Zanzibar
Karume alipewa urais, badae January akapewa uwaziri, Nape naye akapewa uenezi ccm na badae ubunge na uwaziri.
Bila aibu Ridhiwani alipewa ubunge uku baba yake akiwa Rais, Badae bila aibu Mke wa Kikwete akapewa ubunge.
Maajabu Kikwete alitaka kumlisisha Membe Urais.
Kwenye utawala wa Magufuli akawekwa Dotto James kwenye pesa zote za Nchi azisimamie.
Nasikia Waziri wa utawala Bora ana uhusiano wa karibu na Rais wa Sasa ( Undugu) Sina uhakika lakini na ili Ila kiukweli Kama tunategemea maendeleo kwa kuweka tu watu kisa tuna uhusino nao tusahau kuhusu maendeleo.
Ndugu zangu hakuna Nchi inayoendelea kwa kupeana fadhira kiasi hiki kwani watu Hawa uwa hawafanyi chochote kwa kuwa wanajua watakingiwa kifua.
Utashangaa kesho na kesho kutwa wakina Ridhiwani na Makamba wanapewa fadhira ya Urais na idara za usalama zipo sinawakenulia meno tu.
Vetting hakuna tufike sehemu tuwe serious bunge sio sehemu ya dampo la uchafu na takataka zote ni sehemu yakutunga sheria.
Uwalimu wa primary na kutunga sheria kwa kingereza wapi na wapi?.
TISS Ni wakati wa kusimama kidete hata kwenye ajira kwenye mawizara na BOT ni uchafu mtu kuna kipindi yalitolewa majina ya wafanyakazi wa BOT ni majonzi makubwa.
Mtoto wa Lowassa, Mtoto wa Sumaye, Mtoto wa nchimbi, Mtoto wa pinda na watoto wa wanasiasa kibao ndio wanaofanya Kazi BOT.
Undugu, Ukabila, Udini na kujuana Ni vitu ambavyo tunatakiwa kuviondoa Kama tunataka maendeleo.
Sasa wapalilia ukabila mnajiibua Kwa rangi zenu.Nimependa sana hii
Wapalilia ukabila mnajiibua Kwa rangi zenuJWTZ Jeshi la Wakurya Tangu Zamani.
Hata tabia ya chadema kujaza wachaga tupu ikomeshwe
Hivyo ndio tulikuwa tunasema huko mtaani enzi za miaka ya sabini, sio ukabila.Wapalilia ukabila mnajiibua Kwa rangi zenu
Sasa inakuwaje unayarudia hayo miaka sitini baadae .Hivyo ndio tulikuwa tunasema huko mtaani enzi za miaka ya sabini,
Sioni tatizo lolote. Usiogope.Sasa inakuwaje unayarudia hayo miaka sitini baadae .
Kwakuwa ndivyo ulivyo.Sioni tatizo lolote.
Inaonekana bado ni kijana mweupe..Kwakuwa ndivyo ulivyo.
Ila wewe inaonyesha ni mzee mweusi.Inaonekana bado ni kijana mweupe..
Sioni shida yeyote ile.Ila wewe inaonyesha ni mzee mweusi.
π€·π€·π€·ππKwani wewe hudharauliki; au hujioni?