Utawala wa Majimbo una manufaa gani na madhara yake ni yapi?

Utawala wa Majimbo una manufaa gani na madhara yake ni yapi?

Ibrah wa kiwira

Senior Member
Joined
May 17, 2023
Posts
179
Reaction score
167
Samahani Mimi binafsi naamini hii idea ya chadema ni nzuri katika kukimbiza maendeleo ya Tanzania.
Japo wanaccm ni kama wanaipinga Kwa nguvu sana .
Embu naomba tujadiri Kwa kina faida na madhara aina hii ya utawala
 
Kwa Mimi binafsi utawala wa kimajimbo ni mzuri ila usiwe na full mandatory kama nchi za wenzetu (yaani usiwe na Uhuru wa kila kitu kwenye maamuzi na kila kitu )

FAIDA ZA MAJIMBO (ninazozijua kwa mtazamo binafsi)
1) kiongozi katika jimbo huchaguliwa na wananchi wa jimbo husika hivo kama jimbo likipata kiongozi sahii nirahisi kupata maendeleo kwakua atapatikana MTU wa eneo husika anaejua changamoto na jografia ya eneo

2) kurahisisha maendeleo na ukuwaji wa jimbo haraka kwakuwa nirahisi kuanzisha miradi na kuitekeleza bila kupangiwa na uongozi moja kwa moja

3) kutoa fursa nying za ajira katika jimbo husika kwa wananchi wake kwakuwa kila idara inakuwa chini ya jimbo hivo kutoa urasimu kwenye mchakato waajira kujazana watu wa waeneo tofauti na jimbo husika

3) ukuwaji wa uchumi na maendeleo ya wananchi na jimbo kwa pamoja kama kutakuwa na uongozi sahihi wakutekeleza majukumu yake kwakua maamuzi yenu yote hufanyika bila kupangiwa na uongozi tofauti na jimbo
 
Kwa Mimi binafsi utawala wa kimajimbo ni mzuri ila usiwe na full mandatory kama nchi za wenzetu (yaani usiwe na Uhuru wa kila kitu kwenye maamuzi na kila kitu )

FAIDA ZA MAJIMBO (ninazozijua kwa mtazamo binafsi)
1) kiongozi katika jimbo huchaguliwa na wananchi wa jimbo husika hivo kama jimbo likipata kiongozi sahii nirahisi kupata maendeleo kwakua atapatikana MTU wa eneo husika anaejua changamoto na jografia ya eneo

2) kurahisisha maendeleo na ukuwaji wa jimbo haraka kwakuwa nirahisi kuanzisha miradi na kuitekeleza bila kupangiwa na uongozi moja kwa moja

3) kutoa fursa nying za ajira katika jimbo husika kwa wananchi wake kwakuwa kila idara inakuwa chini ya jimbo hivo kutoa urasimu kwenye mchakato waajira kujazana watu wa waeneo tofauti na jimbo husika

3) ukuwaji wa uchumi na maendeleo ya wananchi na jimbo kwa pamoja kama kutakuwa na uongozi sahihi wakutekeleza majukumu yake kwakua maamuzi yenu yote hufanyika bila kupangiwa na uongozi tofauti na jimbo
Asante
 
Kwa Mimi binafsi utawala wa kimajimbo ni mzuri ila usiwe na full mandatory kama nchi za wenzetu (yaani usiwe na Uhuru wa kila kitu kwenye maamuzi na kila kitu )

FAIDA ZA MAJIMBO (ninazozijua kwa mtazamo binafsi)
1) kiongozi katika jimbo huchaguliwa na wananchi wa jimbo husika hivo kama jimbo likipata kiongozi sahii nirahisi kupata maendeleo kwakua atapatikana MTU wa eneo husika anaejua changamoto na jografia ya eneo

2) kurahisisha maendeleo na ukuwaji wa jimbo haraka kwakuwa nirahisi kuanzisha miradi na kuitekeleza bila kupangiwa na uongozi moja kwa moja

3) kutoa fursa nying za ajira katika jimbo husika kwa wananchi wake kwakuwa kila idara inakuwa chini ya jimbo hivo kutoa urasimu kwenye mchakato waajira kujazana watu wa waeneo tofauti na jimbo husika

3) ukuwaji wa uchumi na maendeleo ya wananchi na jimbo kwa pamoja kama kutakuwa na uongozi sahihi wakutekeleza majukumu yake kwakua maamuzi yenu yote hufanyika bila kupangiwa na uongozi tofauti na jimbo
Kuna tofauti gani kati mfumo wa majimbo wa CHADEMA na uliopo sasa?
Kimsingi mfumo wa majimbo wa sasa, ambapo kunakuwa na wawakikishi wanaochaguliwa (Mbunge, Diwani, Viongozi wa Serikali za Mitaa na Vijiji) ndio msingi mkuu wa utawala wa Kidemokrasia. Kinachotakiwa ni kuwapa mamlaka na madaraka makubwa viongozi wa Serikali za Mitaa / Vijijiji, ya kusimamia maamuzi ya Halmashauri na Bunge, yahusuyo maendeleo ya maaeneo yao.
 
Back
Top Bottom