Utawala wa Nyerere vyeo vya juu vya nchi akihakikisha kunakuwa na mkatoliki ,muislamu na mprotestanti

Shotocan

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2023
Posts
6,650
Reaction score
12,711
Utawala wa Nyerere vyeo vya juu vya nchi akihakikisha kunakuwa na mkatoliki ,muislamu na mprotestanti

Mfano raisi akiwa Raisi makamu anaweka muislamu waziri mkuu mprotestanti

Mfano Nyerere akiwa Raisi makamu muislamu waziri mkuu mprotestanti Msuya na malecela

Alifanya hivyo kuleta umoja wa nchi wa dini kubwa zenye wapiga kura wengi
 
Tuondolee huo utaahira wako hapa uongozi wa nchi au chama ni tofauti na uongozi dini. Mtahangaika sana na theories zenu za kijima.
 
Daah... nchi imejaa laana hii! Yaani ukimuona mtu au kulisikia jina lake cha kwanza unawaza udini!
Mbona viongozi wachawi, wanga na washirikina huwataji wakati wanafahamika kwa matendo yao?
 

..mbona alimteua Sokoine Mkatoliki?

..Watz tuachane na ujinga wa udini-dini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…