Utawala wa ROMA umefanikiwa sana hapa duniani

Utawala wa ROMA umefanikiwa sana hapa duniani

PLATO_

Senior Member
Joined
Jan 25, 2020
Posts
116
Reaction score
230
Hawa waRoma ni watu wenye akili sana, imagine walianzisha kanisa la Roman Catholic, kanisa lenye waumini wengi duniani tena wenye misimamo mikali.

WaRoma wamejaribu kufika kila kona ya dunia. Imagine ni utajiri gani waliokuwa nao waRoma Wanamakanisa, Shule, vyuo, fremu za kupangisha etc, Zote hizo ni pesa. Hizi sadaka tunazotoa makanisani hupelekwa Vatican city Mji mkuu wa Roma.

Kwa Maana hiyo tunatoa sadaka halafu zinaenda kujenga nchi nyingine. Serikali inachukua mapato kama kawaida ila ninaimani huku utakatishaji pesa ni mkubwa mno.

Roman Catholic wamefika sehemu mbali mbali za dunia lakini nchi zenye siasa za mlengo mkali wa kushoto kama North Korea zimepiga marufuku kanisa hii pamoja na misikiti kuendesha shughuli zao.

Hakika huu ni utawala wa Roma. Ulianzisha 503BC na upo kimfumo zaidi hakika waRoma wamefanikiwa.

Najaribu kufikiria kwanini serikali isianzishe Tempo ambalo sisi Watanzania ambao hatutaki kuwachangia waItaly na waarabu tuwe tunaenda kuabudu.

Unajua hizo tempo zikitapakaa tanzania nzima na zikawa na waumini hakika Pato la taifa litaongezeka.

Communist tutairule hii nchi siku moja.
 
Tukiamua kujiondoa kwenye utawala wao inawezekana lakini damu itamwagika na kumpata kiongozi mwenye msisamo mkali ni ngumu mno.
Utawala wa kiingereza ulifanikiwa kwa sehemu kubwa baada ya kuitawala dunia kwa 200 yrs mpaka sasa lakini hawakuwa na Dola kubwa iliyotapakaa kama ya Kirumi kwasababu walikuwa na Washindani wenye nguvu akina German, Spain na France

Lakini At least wameitingisha Rumi...si unaona hata wao hawapeleki sadaka zao Roma/Vatican 🤣 walistuka wakaanzisha Anglican Church na Church of England (CoE) na sadaka inaiendeleza Uingereza kwa karne kadhaa sasa
 
Utawala wa kiingereza ulifanikiwa kwa sehemu kubwa baada ya kuitawala dunia kwa 200 yrs mpaka sasa lakini hawakuwa na Dola kubwa iliyotapakaa kama ya Kirumi kwasababu walikuwa na Washindani wenye nguvu akina German, Spain na France

Lakini At least wameitingisha Rumi...si unaona hata wao hawapeleki sadaka zao Roma/Vatican 🤣 walistuka wakaanzisha Anglican Church na Church of England (CoE) na sadaka inaiendeleza Uingereza kwa karne kadhaa sasa

Noma sana.
 
Sijajua Vatican wanachukuaje sadaka zenu.....???


Sisi waislamu sadaka zinazunguka msikitin kwa matumizi ya msikitin
 
Utawala wa kiingereza ulifanikiwa kwa sehemu kubwa baada ya kuitawala dunia kwa 200 yrs mpaka sasa lakini hawakuwa na Dola kubwa iliyotapakaa kama ya Kirumi kwasababu walikuwa na Washindani wenye nguvu akina German, Spain na France

Lakini At least wameitingisha Rumi...si unaona hata wao hawapeleki sadaka zao Roma/Vatican 🤣 walistuka wakaanzisha Anglican Church na Church of England (CoE) na sadaka inaiendeleza Uingereza kwa karne kadhaa sasa

Sijajua Vatican wanachukuaje sadaka zenu.....???


Sisi waislamu sadaka zinazunguka msikitin kwa matumizi ya msikitin
Umewahi tujiuliza zile flemu zenu, shule zenu, sadaka zenu pesa inaenda wapi? Je faida yote hiyo inaishia kwenye kuboresha misikiti na kufanya charity tu?

Animation wewe mwenyewe utahisi kuna namna unachezewa.
 
Umewahi tujiuliza zile flemu zenu, shule zenu, sadaka zenu pesa inaenda wapi? Je faida yote hiyo inaishia kwenye kuboresha misikiti na kufanya charity tu?

Animation wewe mwenyewe utahisi kuna namna unachezewa.
Katika uislam hamna mambo km hyo sadaka yk ukitoa inatumika kwa maghitaji ya kila siku ya msikiti na ndio mana wanamsemo ukiristo biashara lakini mnaanza kujua ukweli kadiri siku zinavo songa
 
Back
Top Bottom