Kwa jinsi Husein Mwinyi anavyoshindwa kuvumilia juu ya vitendo vilivyofanywa na watawala, sikusudii watawala wa kiarabu, nawakusudia hawa tuliopigania uhuru pamoja na kuahidi kuleta maendeleo.
Rais Hussein kila anapopagusa patupu, watawala wa waliopita wakiongozwa na CCM wameshakwapua. Yaani wameishachukua chao mapema, ugumu ni kauli aliyopenda kuitumia kuwa hatafukuwa makaburi, ila kwa hali ilivyoachwa uzalendo utamshinda na inaonesha ataenda kuyafukua makaburi ili apate angalau cha kuanzia mradi wa Zanzibar mpya. Yajayo yanafurahisha,
Utawala wa Zanzibar wa CCM umekomba kila kitu sijui walifikiria ndio mwisho wa dunia au ndio mwisho wa Muungano. Huseini anaenda kufungua makasha anakuta kweupe.
CCM ni kama nzige lile kundi la Zanzibar limefisidi kila kitu. Tunasubiri chunguzi kedekede zinazokuja ili kuitafuta hazina ya Zanzibar wapi imezikwa.
Je, Mwinyi ataweza kumfunga Nzige wakubwa kengele na sheria na haki ichukue mkondo wake?
Rais Hussein kila anapopagusa patupu, watawala wa waliopita wakiongozwa na CCM wameshakwapua. Yaani wameishachukua chao mapema, ugumu ni kauli aliyopenda kuitumia kuwa hatafukuwa makaburi, ila kwa hali ilivyoachwa uzalendo utamshinda na inaonesha ataenda kuyafukua makaburi ili apate angalau cha kuanzia mradi wa Zanzibar mpya. Yajayo yanafurahisha,
Utawala wa Zanzibar wa CCM umekomba kila kitu sijui walifikiria ndio mwisho wa dunia au ndio mwisho wa Muungano. Huseini anaenda kufungua makasha anakuta kweupe.
CCM ni kama nzige lile kundi la Zanzibar limefisidi kila kitu. Tunasubiri chunguzi kedekede zinazokuja ili kuitafuta hazina ya Zanzibar wapi imezikwa.
Je, Mwinyi ataweza kumfunga Nzige wakubwa kengele na sheria na haki ichukue mkondo wake?