WLF Tanzania
Member
- Oct 9, 2014
- 38
- 22
Habari wakuu,
Kama tunavyofahamu, kila jambo na wakati wake.
Tupo katika karne ya 21 ambapo vijana hujiingiza katika ngono wakiwa wadogo, wengi wao kabla ya miaka 18. kufanya hivi kuna hatari zake. Pamoja na kupata madhara kisaikolojia, hasa mahusiano yakivunjika na kutengwa na jamii (hasa kwa wasichana), kuna athari za kimwili kama kupata matatizo ya uzazi.
Ni vizuri kuepuka yanayoepukika. Kaa salama. Kama uko tayari kuanza mambo haya, jilinde kwa vyote uwezavyo.
Utashangazwa na jinsi utakavyoweza kufurahia maisha ukifanya mambo katika wakati muafaka.
Mna maoni gani wadau?
Karibuni
Kama tunavyofahamu, kila jambo na wakati wake.
Tupo katika karne ya 21 ambapo vijana hujiingiza katika ngono wakiwa wadogo, wengi wao kabla ya miaka 18. kufanya hivi kuna hatari zake. Pamoja na kupata madhara kisaikolojia, hasa mahusiano yakivunjika na kutengwa na jamii (hasa kwa wasichana), kuna athari za kimwili kama kupata matatizo ya uzazi.
Ni vizuri kuepuka yanayoepukika. Kaa salama. Kama uko tayari kuanza mambo haya, jilinde kwa vyote uwezavyo.
Utashangazwa na jinsi utakavyoweza kufurahia maisha ukifanya mambo katika wakati muafaka.
Mna maoni gani wadau?
Karibuni