Utayari wa mchezaji wa akiba

Utayari wa mchezaji wa akiba

babacollins

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2010
Posts
901
Reaction score
212
Timu bora siku zote huwa na wachezaji bora wa akiba. Baadhi ya makocha huangalia utayari wa mchezaji aliyepo benchi wakati mechi inaendelea. Miongoni mwao vitu wanavyofatilia ni;
  • Timu yake inapopata bao anaonesha hisia gani
  • Timu yake inapofungwa anaonesha hisia gani
  • Timu yake inapokosa bao anaonesha hisia gani,
  • Timu inapoelekea kushinda au kushindwa anakuwa na hisia gani,

Wakati mwingine sio rahisi sana kumuelewa kocha anapoamua kuendelea kumuweka mchezaji benchi. Utayari wa kimwili na akili ni muhimu sana.

Ni mimi mchezaji kiongozi.
 
Kwa Sasa walau akili imetukaa sawa

Hivi mchezaji Kama PIPO MPINGO s anafaa Kama SA10 akiumia

Au nimewaza Sana kumbe aliyetakiwa n GRADIEL MAIKO maana naye bench linamchosha

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Wachezaji kama De Lima,Ole guna,Teddy Sherringham wanafaa sana kua mfano bora walipokua wakianzia benchi.
 
Back
Top Bottom