nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
Haina haja ya kulialia sana hata waziri Jafo alisema figisu katika chaguzi ni vitu vya kawaida sana hata Israel na Marekani vipo cha muhimu ni vyama vya upinzani kuonyesha ukomavu na kujiongeza kama walivyofanya Renamo au Unita
Wapinzani wanadeka sana juzi katekwa kiongozi wao huko hai na kulazimishwa kusoma taarifa aliyoandikiwa kwamba wilaya ya Hai hawakubaliani na uamuzi wa makao makuu kujitoa uchaguzi uliondaliwa kitaalamu kabisa na serikali sikivu iliyojaa upendo na inayojali amani na mashikamano wa Watanzania yaani awamu ya tano
Wasichojua wapinzani kwamba figisu ni lazima, JASUSI LA TISS a.ka EAGLE 3 DC Sabaya lipo pale hai kimkakati kumkomesha mtu fulani kwa hiyo ni jembe la awamu ya na jamaa ni hatari linakamata hadi majambazi yanayotaka kuvamia benki kabla hata polisi hawajajua
sasa mtu katekwa ,Lema hatakiwi kuingia hai bila ruhusa ya Eagle 3 wapinzani wanalialia tu mitandaoni wakati figisu hata Isarel na Marekani zipo, wamekosa ukomavu wakisiasa
Mwisho kwako Millard Ayo, wandishi wako waliitwa kwenda ku cover story ya mtekwaji na jasusi bobefu linalosimamia maslahi mapana ya taifa wewe unasimamisha kazi hao waandishi na kuomba radhi kama ndalakyuya
Wapinzani wanadeka sana juzi katekwa kiongozi wao huko hai na kulazimishwa kusoma taarifa aliyoandikiwa kwamba wilaya ya Hai hawakubaliani na uamuzi wa makao makuu kujitoa uchaguzi uliondaliwa kitaalamu kabisa na serikali sikivu iliyojaa upendo na inayojali amani na mashikamano wa Watanzania yaani awamu ya tano
Wasichojua wapinzani kwamba figisu ni lazima, JASUSI LA TISS a.ka EAGLE 3 DC Sabaya lipo pale hai kimkakati kumkomesha mtu fulani kwa hiyo ni jembe la awamu ya na jamaa ni hatari linakamata hadi majambazi yanayotaka kuvamia benki kabla hata polisi hawajajua
sasa mtu katekwa ,Lema hatakiwi kuingia hai bila ruhusa ya Eagle 3 wapinzani wanalialia tu mitandaoni wakati figisu hata Isarel na Marekani zipo, wamekosa ukomavu wakisiasa
Mwisho kwako Millard Ayo, wandishi wako waliitwa kwenda ku cover story ya mtekwaji na jasusi bobefu linalosimamia maslahi mapana ya taifa wewe unasimamisha kazi hao waandishi na kuomba radhi kama ndalakyuya