Utekaji kuhusishwa na uhasama wa kibiashara ni namna ya kuwaepusha wahusika halisi kuwajibika? Tukio Dar24 limeishaje?

Utekaji kuhusishwa na uhasama wa kibiashara ni namna ya kuwaepusha wahusika halisi kuwajibika? Tukio Dar24 limeishaje?

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Nadhani wengi tumekutana na tulio lililotrend jana, video ya inayomuonesha 'Bonge' akipambana na watu waliokuja kumteka na kufanikiwa kuwazidi nguvu, wakimuachia zawadi ya pingu. Kama mpaka sasa hujakutana na tukio hilo basi pitia hapa.

1731489379658.png

Kutokana na taarifa ya polisi, Bonge ni mfanyabiashara na alikuwa kwenye hoteli hiyo Kilivya kwaajili ya mambo ya kibiashara, kama hujakutana na tamko la polisi pia fanya kuzama hapa.

Kama tunakumbuka vizuri tukio kutekwa kwa Mkurugenzi wa Dar24, naye taarifa yake haikuwa mbali sana kwenye kuhusisha wafanyabiashara. Na yeye alienda mbali kabisa kusema kuwa watu hao anawafahamu wamekuwa wakiwasiliana kwaajili ya mambo ya biashara, na huenda labda walitaka password na siri nyingine za kibiashara. Ingia hapa kujikumbusha kilichosemwa kwa undani.

1731489061528.png

Je, hii yote ni mpango wa kuhalalisha kuwa watu wanajiteka, kifo cha Kibao huenda ni mambo ya kibiashara, akina Soka, Shedrack na wengine ambao hawajulikani walipo mpaka sasa, kwamba hakuna mkono wa polisi wanaotuhumiwa kila leo kuhusika na matukio haya?

1731489442964.png

Waliyomteka Mkurugenzi wa Dar24 wanajulikana, mhanga aliwatambua kwakuwa wamekuwa wakiwasiliana, kwanini hatujasikia kukwamatwa kwao mpaka sasa? Polisi wanasubiri nini? Kwa mwenezi wa BAWACHA uchunguzi wake nae umefikia wapi?

1731488905930.png

Sativa alihojiwa na kusema kila kilichotokea na alienda mbali zaidi mpaka kumtambua moja ya watu waliomteka, lakini mpaka sasa hakuna yoyote aliyeshikwa au kuhojiwa kutokana na tuhuma hizo za kuhusishwa na utekaji wake, zikaanza danadana za kumhusisha na masuala ya wivu wa mapenzi ila haikufika mbali toka muda huo ni jiii, uchunguzi wa Kibao nao kimya!

1731489264230.png

Ni mwendo wa kuzuga mpaka tusahau mwisho wa siku matukio yote yawe kawaida na kuhusishwa ama na uhasama wa biashara au ukatili wa mapenzi tuushi hivi hivi kama nyumbu, watu wawe wanapotea na uchunguzi kufa jujuu bila watu kuchukuliwa hatua sababu watekaji halisi actually wanajulikana?

Narudisha mpira kwenu Wakuu, chawa nawasubiri mkija mkiwa mnabubujikwa machozi ya huzuni mkiongozwa na Lucas Mwashambwa Tlaatlaah johnthebaptist
 
Wakuu,

Nadhani wengi tumekutana na tulio lililotrend jana, video ya inayomuonesha 'Bonge' akipambana na watu waliokuja kumteka na kufanikiwa kuwazidi nguvu, wakimuachia zawadi ya pingu. Kama mpaka sasa hujakutana na tukio hilo basi pitia hapa.


Kutokana na taarifa ya polisi, Bonge ni mfanyabiashara na alikuwa kwenye hoteli hiyo Kilivya kwaajili ya mambo ya kibiashara, kama hujakutana na tamko la polisi pia fanya kuzama hapa.

Kama tunakumbuka vizuri tukio kutekwa kwa Mkurugenzi wa Dar24, naye taarifa yake haikuwa mbali sana kwenye kuhusisha wafanyabiashara. Na yeye alienda mbali kabisa kusema kuwa watu hao anawafahamu wamekuwa wakiwasiliana kwaajili ya mambo ya biashara, na huenda labda walitaka password na siri nyingine za kibiashara. Ingia hapa kujikumbusha kilichosemwa kwa undani.


Je, hii yote ni mpango wa kuhalalisha kuwa watu wanajiteka, kifo cha Kibao huenda ni mambo ya kibiashara, akina Soka, Shedrack na wengine ambao hawajulikani walipo mpaka sasa, kwamba hakuna mkono wa polisi wanaotuhumiwa kila leo kuhusika na matukio haya?


Waliyomteka Mkurugenzi wa Dar24 wanajulikana, mhanga aliwatambua kwakuwa wamekuwa wakiwasiliana, kwanini hatujasikia kukwamatwa kwao mpaka sasa? Polisi wanasubiri nini? Kwa mwenezi wa BAWACHA uchunguzi wake nae umefikia wapi?


Sativa alihojiwa na kusema kila kilichotokea na alienda mbali zaidi mpaka kumtambua moja ya watu waliomteka, lakini mpaka sasa hakuna yoyote aliyeshikwa au kuhojiwa kutokana na tuhuma hizo za kuhusishwa na utekaji wake, zikaanza danadana za kumhusisha na masuala ya wivu wa mapenzi ila haikufika mbali toka muda huo ni jiii, uchunguzi wa Kibao nao kimya!


Ni mwendo wa kuzuga mpaka tusahau mwisho wa siku matukio yote yawe kawaida na kuhusishwa ama na uhasama wa biashara au ukatili wa mapenzi tuushi hivi hivi kama nyumbu, watu wawe wanapotea na uchunguzi kufa jujuu bila watu kuchukuliwa hatua sababu watekaji halisi actually wanajulikana?

Narudisha mpira kwenu Wakuu, chawa nawasubiri mkija mkiwa mnabubujikwa machozi ya huzuni mkiongozwa na Lucas Mwashambwa Tlaatlaah johnthebaptist
Ni mwendo wa kuzuga mpaka tusahau mwisho wa siku matukio yote yawe kawaida na kuhusishwa ama na uhasama wa biashara au ukatili wa mapenzi tuushi hivi hivi kama nyumbu, watu wawe wanapotea na uchunguzi kufa jujuu bila watu kuchukuliwa hatua sababu watekaji halisi actually wanajulikana?🥺🤔🙇🏿‍♂
 
Wakuu,

Nadhani wengi tumekutana na tulio lililotrend jana, video ya inayomuonesha 'Bonge' akipambana na watu waliokuja kumteka na kufanikiwa kuwazidi nguvu, wakimuachia zawadi ya pingu. Kama mpaka sasa hujakutana na tukio hilo basi pitia hapa.


Kutokana na taarifa ya polisi, Bonge ni mfanyabiashara na alikuwa kwenye hoteli hiyo Kilivya kwaajili ya mambo ya kibiashara, kama hujakutana na tamko la polisi pia fanya kuzama hapa.

Kama tunakumbuka vizuri tukio kutekwa kwa Mkurugenzi wa Dar24, naye taarifa yake haikuwa mbali sana kwenye kuhusisha wafanyabiashara. Na yeye alienda mbali kabisa kusema kuwa watu hao anawafahamu wamekuwa wakiwasiliana kwaajili ya mambo ya biashara, na huenda labda walitaka password na siri nyingine za kibiashara. Ingia hapa kujikumbusha kilichosemwa kwa undani.


Je, hii yote ni mpango wa kuhalalisha kuwa watu wanajiteka, kifo cha Kibao huenda ni mambo ya kibiashara, akina Soka, Shedrack na wengine ambao hawajulikani walipo mpaka sasa, kwamba hakuna mkono wa polisi wanaotuhumiwa kila leo kuhusika na matukio haya?


Waliyomteka Mkurugenzi wa Dar24 wanajulikana, mhanga aliwatambua kwakuwa wamekuwa wakiwasiliana, kwanini hatujasikia kukwamatwa kwao mpaka sasa? Polisi wanasubiri nini? Kwa mwenezi wa BAWACHA uchunguzi wake nae umefikia wapi?


Sativa alihojiwa na kusema kila kilichotokea na alienda mbali zaidi mpaka kumtambua moja ya watu waliomteka, lakini mpaka sasa hakuna yoyote aliyeshikwa au kuhojiwa kutokana na tuhuma hizo za kuhusishwa na utekaji wake, zikaanza danadana za kumhusisha na masuala ya wivu wa mapenzi ila haikufika mbali toka muda huo ni jiii, uchunguzi wa Kibao nao kimya!


Ni mwendo wa kuzuga mpaka tusahau mwisho wa siku matukio yote yawe kawaida na kuhusishwa ama na uhasama wa biashara au ukatili wa mapenzi tuushi hivi hivi kama nyumbu, watu wawe wanapotea na uchunguzi kufa jujuu bila watu kuchukuliwa hatua sababu watekaji halisi actually wanajulikana?

Narudisha mpira kwenu Wakuu, chawa nawasubiri mkija mkiwa mnabubujikwa machozi ya huzuni mkiongozwa na Lucas Mwashambwa Tlaatlaah johnthebaptist
Nchi hii ina watu wapumbavu sana. Na tunao humu chawa akina MamaSamia2025 ambao wamekuwa wakishabikia utekaji sijui mpaka mama zao watekwe ndipo wataamka mbwa hawa. Inauma sana.
 
Ila kwa stairi ile hawaniteke wazembe sana,yaani nitan'goa hata makende ya mtu
Kuna umuhimu wa kutembea na silaha ya kisu kila mahali uendapo. Bonge angekuwa na kisu akamtawanya utumbo mmoja wa watekaji lingekuwaa fundisho kwao.

Halafu kuna kitu nimejifunza kutokana na hili tukio. Profesa Janabi atuache tule tushibe tuwe vibonge. Yule jamaa angekuwa kimbaumbau lazima angeingia kwenye gari.
 
Wakuu,

Nadhani wengi tumekutana na tulio lililotrend jana, video ya inayomuonesha 'Bonge' akipambana na watu waliokuja kumteka na kufanikiwa kuwazidi nguvu, wakimuachia zawadi ya pingu. Kama mpaka sasa hujakutana na tukio hilo basi pitia hapa.


Kutokana na taarifa ya polisi, Bonge ni mfanyabiashara na alikuwa kwenye hoteli hiyo Kilivya kwaajili ya mambo ya kibiashara, kama hujakutana na tamko la polisi pia fanya kuzama hapa.

Kama tunakumbuka vizuri tukio kutekwa kwa Mkurugenzi wa Dar24, naye taarifa yake haikuwa mbali sana kwenye kuhusisha wafanyabiashara. Na yeye alienda mbali kabisa kusema kuwa watu hao anawafahamu wamekuwa wakiwasiliana kwaajili ya mambo ya biashara, na huenda labda walitaka password na siri nyingine za kibiashara. Ingia hapa kujikumbusha kilichosemwa kwa undani.


Je, hii yote ni mpango wa kuhalalisha kuwa watu wanajiteka, kifo cha Kibao huenda ni mambo ya kibiashara, akina Soka, Shedrack na wengine ambao hawajulikani walipo mpaka sasa, kwamba hakuna mkono wa polisi wanaotuhumiwa kila leo kuhusika na matukio haya?


Waliyomteka Mkurugenzi wa Dar24 wanajulikana, mhanga aliwatambua kwakuwa wamekuwa wakiwasiliana, kwanini hatujasikia kukwamatwa kwao mpaka sasa? Polisi wanasubiri nini? Kwa mwenezi wa BAWACHA uchunguzi wake nae umefikia wapi?


Sativa alihojiwa na kusema kila kilichotokea na alienda mbali zaidi mpaka kumtambua moja ya watu waliomteka, lakini mpaka sasa hakuna yoyote aliyeshikwa au kuhojiwa kutokana na tuhuma hizo za kuhusishwa na utekaji wake, zikaanza danadana za kumhusisha na masuala ya wivu wa mapenzi ila haikufika mbali toka muda huo ni jiii, uchunguzi wa Kibao nao kimya!


Ni mwendo wa kuzuga mpaka tusahau mwisho wa siku matukio yote yawe kawaida na kuhusishwa ama na uhasama wa biashara au ukatili wa mapenzi tuushi hivi hivi kama nyumbu, watu wawe wanapotea na uchunguzi kufa jujuu bila watu kuchukuliwa hatua sababu watekaji halisi actually wanajulikana?

Narudisha mpira kwenu Wakuu, chawa nawasubiri mkija mkiwa mnabubujikwa machozi ya huzuni mkiongozwa na Lucas Mwashambwa Tlaatlaah johnthebaptist
uzi wako mzuri lakini umearibika baada ya kumuweka uyo shoga sativa
 
Wakuu,

Nadhani wengi tumekutana na tulio lililotrend jana, video ya inayomuonesha 'Bonge' akipambana na watu waliokuja kumteka na kufanikiwa kuwazidi nguvu, wakimuachia zawadi ya pingu. Kama mpaka sasa hujakutana na tukio hilo basi pitia hapa.


Kutokana na taarifa ya polisi, Bonge ni mfanyabiashara na alikuwa kwenye hoteli hiyo Kilivya kwaajili ya mambo ya kibiashara, kama hujakutana na tamko la polisi pia fanya kuzama hapa.

Kama tunakumbuka vizuri tukio kutekwa kwa Mkurugenzi wa Dar24, naye taarifa yake haikuwa mbali sana kwenye kuhusisha wafanyabiashara. Na yeye alienda mbali kabisa kusema kuwa watu hao anawafahamu wamekuwa wakiwasiliana kwaajili ya mambo ya biashara, na huenda labda walitaka password na siri nyingine za kibiashara. Ingia hapa kujikumbusha kilichosemwa kwa undani.


Je, hii yote ni mpango wa kuhalalisha kuwa watu wanajiteka, kifo cha Kibao huenda ni mambo ya kibiashara, akina Soka, Shedrack na wengine ambao hawajulikani walipo mpaka sasa, kwamba hakuna mkono wa polisi wanaotuhumiwa kila leo kuhusika na matukio haya?


Waliyomteka Mkurugenzi wa Dar24 wanajulikana, mhanga aliwatambua kwakuwa wamekuwa wakiwasiliana, kwanini hatujasikia kukwamatwa kwao mpaka sasa? Polisi wanasubiri nini? Kwa mwenezi wa BAWACHA uchunguzi wake nae umefikia wapi?


Sativa alihojiwa na kusema kila kilichotokea na alienda mbali zaidi mpaka kumtambua moja ya watu waliomteka, lakini mpaka sasa hakuna yoyote aliyeshikwa au kuhojiwa kutokana na tuhuma hizo za kuhusishwa na utekaji wake, zikaanza danadana za kumhusisha na masuala ya wivu wa mapenzi ila haikufika mbali toka muda huo ni jiii, uchunguzi wa Kibao nao kimya!


Ni mwendo wa kuzuga mpaka tusahau mwisho wa siku matukio yote yawe kawaida na kuhusishwa ama na uhasama wa biashara au ukatili wa mapenzi tuushi hivi hivi kama nyumbu, watu wawe wanapotea na uchunguzi kufa jujuu bila watu kuchukuliwa hatua sababu watekaji halisi actually wanajulikana?

Narudisha mpira kwenu Wakuu, chawa nawasubiri mkija mkiwa mnabubujikwa machozi ya huzuni mkiongozwa na Lucas Mwashambwa Tlaatlaah johnthebaptist
Hawa mafala ndiyo walewale waliomshambulia Lissu,ndiyo waliomteka na kumuua Kibao na ndiyo walewale waliomtolea bastola Nape in short it's the same fvcking department/gangsters ambao wana baraka zote za uongozi wa juu wa nchi otherwise wangekuwa wanakamatwa na kutiwa hatiani na serikari ingehakikisha kila kitu kinawekwa bayana kwani 'mimavi' yote rightly so wamepakwa wao.
 
Back
Top Bottom