Utekelezaji wa Bajeti 2018/19 kwa watumishi wa Umma, utafanyika lini?

Joined
Jul 18, 2020
Posts
9
Reaction score
15
Niwakumbushe Serikali ya CCM mnaenda katika Uchaguzi mkiwa na deni la Madaraja. Wapo watumishi walitakiwa kupanda madaraja katika bajeti ya 2018/19 mpaka leo bado haijatakelezwa.
 
Kupanda madaraja kwa sasa haiwezekani kwani bado yanajengwa kwanza.
 
Malimbikizo ya mshahara hujanilipa alafu nikupe kura Mungu anilaani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…