Magobe,
Naomba u-develop argument yako zaidi NA kwa kutumia mifano.Kwa mfano mtu anaweza kuku support kwa kuchukulia kesi ya marehemu Ditopile jinsi alivyoua kufungwa na kutolewa kwa dhamana haraka haraka wakati kuna watu wana miaka kumi Keko -rumande, siyo jela-bado wanasomewa mashtaka ya kuua.
Mtu mwingine anaweza kusema ingawa Ditopile alipewa dhamana haraka, hivyo ndivyo inavyotakiwa iwe kwa wote, kwa hiyo double standard ipo lakini focus iwe katika kuondoa ucheleweshwaji wa haki kwa watu wa kawaida kwa sababu kama wanavyosema wasomi wa sheria "haki iliyocheleweshwa ni haki iliyokataliwa"