Utendaji kazi wa TCU unanikatisha tamaa

Chachasteven

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2014
Posts
1,941
Reaction score
2,044
Jamani Mimi nliahirisha masomo mwaka Jana nlipangiwa education UDOM.

Ila sikufanya usajili wowote chuoni hapo baada ya wao kunambia nafasi za kozi za afya watu wameshafanya transfer wametosha.

Nlirudi nyumbani wazazi wakanambia niende TCU kusitisha, nlienda TCU wakasema ukiacha chuo kama unamkopo unapeleka taarifa heslb tuu, ila kwetu hamna shida unaomba tu hata kama ukuleta taarifa.
Ila wakanambia vizuri ukiandika barua ukaacha hapa TCU pia.

Nliandika barua hiyo mwezi wa 4 tarehe 12 2015 then nlirudi nyumbani.

Sasa majina ya batch one yametoka na Mimi nkifanya application bado ina niambia already registered .
Embu jamani nipeni ushauri au ndo barua tukiacha wanaziweka kwenye kapu.

Nimerudi tena kwa Mara ya pili kupeleka tena confirmation letter ya UDOM Leo siku NNE zimepita tangu kuipeleka lakini bado naambiwa already registered.

Embu mlioahirishaga vyuo miaka ya nyuma mtuelekeze mlikuwa mnafanyaje labda Mimi nakosea kuandika barua au maelezo nliyowapa hayajitoshelezi?

Kiukweli sipati usingizi?
 
walisema wakifanyia kazi majina watakupa taarifa kwa email/namba yako kwamba umethibitishwa ukoclear kufanya app, pia walisema majina ya waliokuwa approved watayaweka kwenye website yao, kuwa mvumilivu kusubiria yote au 1 kati ya hivyo .
 
I give up!!
Sijui kama kitaeleweka!.
Watoto wa maskini Tanzania si yetu.
 
I give up!!
Sijui kama kitaeleweka!.
Watoto wa maskini Tanzania si yetu.

Wacha kukata tamaa kirahisi namna hiyo dogoo komaa fata utaratibu fatilia barua kutoka chuoni kwako inayoelezea kwamba wewe uli-shit chuo...Ukiwapelekea wao hata hawana tabu Una-apply tu kiulaiiiini.😛hone:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…