Utendaji kazi wa Watumishi Housing Company LTD!

Blessed Keinerugaba

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2011
Posts
4,754
Reaction score
4,746
Wasalaam sana wakuu!
kicha cha mada hii kinahusika sana,Nimevutiwa na jitihada za mifuko ya hifadhi ya jamii katika kuwapatia watumishi nyumba bora katika utaratibu uliowekwa,
Dhumuni la uzi kualika wote wenye uelewa hili suala tujadiiane na kupeana mawazo mbalimbali katika eneo hili,nawasilisha!
 
WWatumishi Housing Company nnina imani nayo kwani Dkt. Hussein M ni engine ya kuinvent mafanikio. Namkumbuka aliisaidia kiasi flani kuifikisha NHC hapa ilipo.
Katika utelekelezaji wa majukumu yao waangalie sana wasijegongana kimaslahi na wabia wakubwa kama NHC na mifuko ya pensheni. Na pia wajitahidi bei zao zisiwe juu sambamba na hilo wasitumie mabenki kukopesha riba zipo juu mno ila serikali iweke guaranteed kwa wafanyakazi wake ili wakatwe kidogo kidogo kwenye mishahara hadi bei ya nyumba itakapofikiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…