Heshima kwenu wana JF!
Mimi ni miongoni mwa wale wanaosupport kwa kiasi kikubwa kuanzishwa kwa Inland Container Depots (ICDs) kwani kwa kiasi kikubwa zimepunguza usumbufu tuliokuwa tukiupata kwenye kuprocess mizigo TPA peke yake. Lakini pamoja na mazuri ya hizi ICDs bado kuna mambo ambayo yanapaswa kufanyiwa kazi. Mojawapo ni hili la muda wa kazi kwa hizi ICDs, naeleza kidogo hapa chini.
Jumamosi hii nilikuwa naclear gari kwenye ICD ya mheshimiwa katibu mkuu wa ccm hapo Shaurimoyo inayoitwa kwa kifupi TALL. Kule ndani of course kama zilivyo ICDs zote kuna madirisha mawili ya malipo moja la TPA na moja la ICD husika. Agent wangu alilipa dirisha la ICD saa 6 kasoro akaelekea kwenye dirisha la ICD ambako alipigwa stop na Director wa kizungu mwajiriwa wa Kinana kwamba muda wa kazi umeisha asubiri j3. Hili liliniboa sana kwani niliona kama ni uonevu na kama vile ana force biashara kwa kuattract storage charges zisizo na sababu. Lakini kingine kikubwa niliona upuuzi kama huu unaweza kuhatarisha kushuka kwa mapato ya TPA. Miongoni mwa wateja tuli0athiriwa na maamuzi ya mzungu yule mwajiriwa wa kinana ni wageni wakiwemo wazimbabwe. Najaribu kuimagine Mzimbabwe amekaa wiki nzima kufuatilia gari yake then jmosi saa 6 wakati anamalizia process yake anaambiwa asubiri J3.
Hilo liliishia hapo lakini machungu yangu yaliongezeka baada ya kupita maeneo ya Kibasila Secondary na kukuta kwamba ile ICD ilikuwa bado inafanya kazi saa 12 jioni. Sasa nikajiuliza hivi kumbe kila ICD ina moda wake wa kufanya kazi? Kwa hiyo mteja ambaye gari lake limefikia TALL analipa storage charges na mteja wa ICD nyingine hawezi kulipa storage charges hata kama mizigo yao imefika siku moja? I thought hawa ni kama agents wa TPA so wanapaswa kuoperate kwa same standards? Au hawa wenzetu wa TALL hii nyodo waliyonayo ni kwa sababu nchi wameibinafsisha? Kuna uzi ulitoka last week humu kwamba TPA walipata mapato ya 50 billion kwa mwezi Dec hii ni kama 16% ya pato la Taifa. Hii inaonesha ni jinsi gani TPA ilivyo na mchango kwa TAIFA lakini hatujawa serious namna ya kuioperate ili mchango wake uongezeke kwani fursa bado ipo kabisa tena ni kubwa.
Mimi ni miongoni mwa wale wanaosupport kwa kiasi kikubwa kuanzishwa kwa Inland Container Depots (ICDs) kwani kwa kiasi kikubwa zimepunguza usumbufu tuliokuwa tukiupata kwenye kuprocess mizigo TPA peke yake. Lakini pamoja na mazuri ya hizi ICDs bado kuna mambo ambayo yanapaswa kufanyiwa kazi. Mojawapo ni hili la muda wa kazi kwa hizi ICDs, naeleza kidogo hapa chini.
Jumamosi hii nilikuwa naclear gari kwenye ICD ya mheshimiwa katibu mkuu wa ccm hapo Shaurimoyo inayoitwa kwa kifupi TALL. Kule ndani of course kama zilivyo ICDs zote kuna madirisha mawili ya malipo moja la TPA na moja la ICD husika. Agent wangu alilipa dirisha la ICD saa 6 kasoro akaelekea kwenye dirisha la ICD ambako alipigwa stop na Director wa kizungu mwajiriwa wa Kinana kwamba muda wa kazi umeisha asubiri j3. Hili liliniboa sana kwani niliona kama ni uonevu na kama vile ana force biashara kwa kuattract storage charges zisizo na sababu. Lakini kingine kikubwa niliona upuuzi kama huu unaweza kuhatarisha kushuka kwa mapato ya TPA. Miongoni mwa wateja tuli0athiriwa na maamuzi ya mzungu yule mwajiriwa wa kinana ni wageni wakiwemo wazimbabwe. Najaribu kuimagine Mzimbabwe amekaa wiki nzima kufuatilia gari yake then jmosi saa 6 wakati anamalizia process yake anaambiwa asubiri J3.
Hilo liliishia hapo lakini machungu yangu yaliongezeka baada ya kupita maeneo ya Kibasila Secondary na kukuta kwamba ile ICD ilikuwa bado inafanya kazi saa 12 jioni. Sasa nikajiuliza hivi kumbe kila ICD ina moda wake wa kufanya kazi? Kwa hiyo mteja ambaye gari lake limefikia TALL analipa storage charges na mteja wa ICD nyingine hawezi kulipa storage charges hata kama mizigo yao imefika siku moja? I thought hawa ni kama agents wa TPA so wanapaswa kuoperate kwa same standards? Au hawa wenzetu wa TALL hii nyodo waliyonayo ni kwa sababu nchi wameibinafsisha? Kuna uzi ulitoka last week humu kwamba TPA walipata mapato ya 50 billion kwa mwezi Dec hii ni kama 16% ya pato la Taifa. Hii inaonesha ni jinsi gani TPA ilivyo na mchango kwa TAIFA lakini hatujawa serious namna ya kuioperate ili mchango wake uongezeke kwani fursa bado ipo kabisa tena ni kubwa.