Pre GE2025 Utendaji wa Mbunge Kimei wamng'oa katibu wa ACT Wazalendo Jimbo la Vunjo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

MTANZANIA620

Member
Joined
Jun 20, 2023
Posts
65
Reaction score
81
Kasi ya utendaji ya Mbunge wa Jimbo la Vunjo Mhe Dkt Charles Stephen Kimei katika utekelezaji wa majukumu yake unatajwa kuwavutia wengi akiwemo aliyekua mgombea ubunge Jimbo la Vunjo katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 ambaye pia ni Katibu wa ACT WAZALENDO katika Jimbo hilo Ndg Idd Mfinanga

Akizungumza baada ya kukabidhi kadi yake katika mkutano wa ufunguzi wa kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 zilizofanyika eneo la Pofo barabara ya Kilema Ndg Mfinanga amesema anaridhishwa na kasi ya utendaji ya serikali ya CCM inayoongozwa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan pamoja na wawakilishi wa wananchi wakiwemo madiwani na Mbunge wa Jimbo hilo Mhe Dkt Charles Stephen Kimei.

Soma Pia: Dkt. Charles Kimei: Samia amefanya makubwa Vunjo


 

Attachments

  • IMG-20241120-WA0021.jpg
    71 KB · Views: 4
  • IMG-20241120-WA0020.jpg
    60.6 KB · Views: 4
  • IMG-20241120-WA0017.jpg
    76.8 KB · Views: 4
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…