Home upo shida ukianza kuzaa tu mti unapandiwa na yale maukungu meupe basi matunda yanasinyaa hua naumia na sasa hivi ndio msimu wake daah.zuri kwakweli mwanangu !jaribu hiyo pia !nimebahatika kupata miche yake bas kila mara naiangalia ikue tu jaman !lol
nenda kwenye duka la kilimo watakupa dawa ya kupuliza kwenye mti.Home upo shida ukianza kuzaa tu mti unapandiwa na yale maukungu meupe basi matunda yanasinyaa hua naumia na sasa hivi ndio msimu wake daah.
Nialike mama angu nipate glass ya stafel mixer strawberry uwiii utamu wake siuelezei. lol.
Shukran sana Aunt, lolnenda kwenye duka la kilimo watakupa dawa ya kupuliza kwenye mti.
Home upo shida ukianza kuzaa tu mti unapandiwa na yale maukungu meupe basi matunda yanasinyaa hua naumia na sasa hivi ndio msimu wake daah.
Nialike mama angu nipate glass ya stafel mixer strawberry uwiii utamu wake siuelezei. lol.
Can't wait for xmass, yummy yummy.kuna dawa za kupiga !nimesahau jina nikikumbuka nitakuambia !ipo dukani ! xmas nitakualika !yummy yummy
Sawaa mama.... nitakungojea.huhu nitakuwa huko !takutafuta
Ila halizidi nanasi nazani wazee wenzangu tunakubaliana kwa hilikabisa lina sukari ya asili tamuuu !
Utakua umetusaidia wengi mkuu. Mimi huwa yanaoza yakiiva.kuna dawa za kupiga !nimesahau jina nikikumbuka nitakuambia !ipo dukani ! xmas nitakualika !yummy yummy